Elections 2010 Daa ni hatari kumbe kweli JK aliiba kura....

Mkuu sifahamu umri wako wala kiwango chako cha elimu bt mvuke unaotema hapa unaonyesha una matatizo makubwa.
Tahadhari "KUWA KICHAA SIO MPAKA UVUE NGUO" Jitathmini mwenyewe Makamba

we ndio mzembe kweli kweli, na wewe umejikubalisha kutemewa mate? du aibu mkuu kwani sweetlady nimemtemea mate ya uzazi na wewe unataka bado. mkuu hapa suala la umri halina nafasi kwani umri wako wewe ungekuwa unadhani unatusaidia usingekubali kuzoeshwa kwamba hufanyi jambo mpaka ulipwe kama ulivyo zoea huko kwa wanamaandamano.mwambie sweetlady kesho aje ofisini kwangu aone ninavyouza kahawa.mimi interview sitomuomba rushwa ya ngono kama alivozoea kugawa kama karanga.
 
Tehe! Kumbe hata kijiwe cha kahawa nacho ni ofc???
 
Acha kujifagilia bana toka lini SHOGA akatema mate ya uzazi??
 

unaona utamu nepi kukulipa buku 2 ili ulete ujinga hapa,nyie ndo vijana mliokua chini ya milaji uchaguz ulipoisha wakawatelekeza,nasikia ulianza kujiuza/kuuza mwili,sasa nepi kakuajiri unajiona umefika.
 

Irrelevant! kinachozungumziwa ni wizi wa kura, halafu mwenye kudai mke alishafungua kesi mahakamani na mpaka leo kimya! wewe unaelewa nini hapo? ukizingatia dr. anategemea kupata mtoto hivi karibuni kutoka kwa huyo mnaesema mke wa mtu! acha ushabiki maandazi, ilikuwa mbinu ya kisiasa lakini iligonga mwamba.
 

we ndo mpuuzi kweli yaani unadhani idadi ya wanachama ndo ina
determine ushindi! kwa akili yako unadhani wote wanaojiandikisha na kupiga kura lazima wawe members wa chama fulani! kashangae kenya KANU iliangukaje.
 
dahhhh
Siku za mwizi 40..
Mbona zake zimezidi mmmhhh
 
ukizingatia dr. anategemea kupata mtoto hivi karibuni kutoka kwa huyo mnaesema mke wa mtu!.

Ukweli juu ya huyo mtoto anao Josephine tu historia haimpi tunu sana.
 
Ushahidi mkubwa kwa jk kuiba kura alishautoa Magamba mwenzao yule msema hovyo wa vyama vya siasa yulee aahh unamjuaa bana!!!Tendwa!!
 
kuchukua mke wa mtu inategemea huyo mwanaume anatoa care kama hutoi wezio wanajisavia
jamani ccm wanahoja nyepesi sana hii nayo wanaona hoja mbona jk anachukua wake za watu na tunawafahamu sasa hvi amewahonga madarka kwani hatujui, uliza kisa cha kufungwa babu seya na wanae kisa jk analazimisha mapenzi. yule mke wa kocha wa timu ya wanawake mbona kama mke wake tu, sasa hivi mkuu wa wilaya huko tanga hebu waulize walinzi wa jk akifika huko huwa haitaji ulinzi mme wake amehongwa ukocha wa timu yataifa ya k
 
Out of the topic pls.
I am a new comer and i want to know how to post new topic. Help me pls.
 
Ok, Jumamosi wengi mnaenda kwenye mitoko. Ok kwa yeyote atakayesoma hizi post zangu anisaidie kunielekeza. Mi mgeni kwenye hii room
 
Ok, Jumamosi wengi mnaenda kwenye mitoko. Ok kwa yeyote atakayesoma hizi post zangu anisaidie kunielekeza. Mi mgeni kwenye hii  room  
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…