N.dizzle guy
Member
- Sep 14, 2013
- 27
- 2
daaaah.. now nko ubungo naangalia n namna gani naweza fika kituo Arusha dc.. lakin mpaka sasa hakuna basi hata moja lililoruhusiwa hapa ubungo stendi... daaaah jamani hii serikali yetu mbona haiwi pro active mpaka tukio litokee ndo wachukue hatua