Ubunifu zerooo! Ndio kasumba ya watz. Asili ya neno 'Hakuna matata' ni Kenya, hilo halina ubishi. Huu wimbo nilishuhudia wakiwaimbia watalii kule Serengeti, bila aibu. Alafu wakisema 'wageni, mwakaribishwa', watalii wanajibu, 'Kenya yetu, hakuna mataraa'! [emoji1]