Daah, ghafla nimepunguziwa hamu ya kumtongoza huyu mwanamke

Daah, ghafla nimepunguziwa hamu ya kumtongoza huyu mwanamke

true willdad

Member
Joined
Jul 22, 2021
Posts
16
Reaction score
18
Daah kuna situation moja imenitokea muda huu. Kuna demu fulani nilitaka nimtongoze hapa mtaani yaani jirani yetu anaitwa A  ila huyu demu ana rafiki yake ambaye amezoeana na mimi anaitwa M.

Kwahiyo nilimtumia rafiki yake kuzoeana naye ili iwe rahisi kumtokea. Sasa katika harakati za kulivuta tunda, kuna demu mwingine anaitwa T naye nimezoeana naye alikuwa anaona mitikasi yangu kiasi akaniuliza unamfwatilia huyu demu, nikamtell ndiyo nataka nimkamate.

kitu kilichofanya nilete hii habari humu, wakati napanga nikatililike kwa huyo demu mara M kanipigia simu ananiambia umefanya nini, nikamuuliza kuna nini, akaniambia umemtuma T akamwambie  A kuwa unapenda na hayo maneno kaambiwa na  A mwenyewe.

Daah nilipata na mshituko nikamfwata T kumuuliza akaniambia ndiyo kamwambia ila kiutani. Sasa kinachonichanganya huyu T hapa mtaani anaonekana mcharuko hata M kashanitoa thamani na kaniambia hujaona mtu mwingine mpaka ukamwambie T akakutongozee. Yaani nilikuona fighter ila umeniangusha, pia huyu A sijui atakuwa kanichukuliaje.

Wakuu nipeni maelekezo hii ishu nitaisolve vipi ili niendelee na harakati za kumtongoza huyu demu, maana sitaki kumuacha hivi hivi.
 
Daah Kuna situation moja imenitokea muda huu.kuna demu Fulani nilitaka nimtongoze hapa mtaani yaani jirani yetu anaitwa A  ila huyu demu ana rafiki yake ambaye amezoeana na mimi anaitwa M.

Kwahiyo nilimtumia rafiki yake kuzoeana naye ili iwe rahisi kumtokea. Sasa katika harakati za kulivuta tunda Kuna demu mwingine anaitwa T naye nimezoeana naye alikuwa anaona mitikasi yangu kiasi akaniuliza unamfwatilia huyu demu nikamtell ndio nataka nimkamate.

kitu kilichofanya nilete hii habari humu, wakati napanga nikatililike kwa huyo demu mara  M kanipigia simu ananiambia umefanya Nini , nikamuuliza Kuna Nini akaniambia umemtuma  T akamwambie  A kuwa unapenda na hayo maneno kaambiwa na  A mwenyewe.

Daah nilipata na mshituko nikamfwata T kumuuliza akaniambia ndio kamwambia ila kiutani. Sasa kinachonichanganya huyu T hapa mtaani anaonekana mcharuko Hata M kashanitoa thamani na kaniambia ujaona mtu mwingine mpaka ukamwambie T akakutongozee yaani nilikuona fighter ila umeniangusha, pia huyu A sijui atakuwa kanichukuliaje .

Wakuu nipeni maelekezo hii ishu nitaisolve vipi ili niendelee na harakati za kumtongoza huyu demu maana sitaki kumuacha hivihivi
Wewe ni mla bure auna stress za tozo acha tulale tu utajua mwenyewelakufanya
 
Jf sasa inavamiwa na watu wa Facebook.....[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
 
Young man, achana na izo habari za T mara M, Mwanaume unazoeanaje na wasichana kiasi icho? Watakufundisha umbea kwa ufupi umekua mbeya.

Kwa umri wako huo jipambanue sana katika kujitafutia kesho yako,tii wakubwa nakusaidia wazazi.

Mapenzi yatakutoa ngeo ya moyo ungali mdogo hii ni vita.
 
Tafuta rafiki yako mwngn aitwaye F akasawazishe mambo kwa huyo A
 
Asee wiki moja tu ya likizo form 3 msha anza kusumbua
 
Back
Top Bottom