Daah! Upweke unaniua. Natafuta mke

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Sina mengi ya kusema.

Sitaki kuwa selective maana upweke unaniua.

Kama we ni mwanamke, umri 20 - 27, dini yoyote, rangi yoyote basi njoo tuyajenge.

Mimi ni Muajiriwa.
Umri wangu ni miaka 28.
Naishi Dar es salaam.
Dini yangu mkristo.
Mweusi, mrefu kidogo 5.7 feet.


Njoo PM tuongee kama umeridhika na vigezo.

Girls kuweni serious kwenye hili, upweke unaniua aiseee!
 
mke haondoi upweke

tafuta pesa

mabinti watakutafuta automatically,na utajichagulia mwenyewe wa kuoa
Vipi yule Bidada mwenye Pesa zake, ambaye naye anatafuta mume ?



Msipende sana kuzitegemeza Pesa ktk suala la hisia.


Ona una Mali yenye jumla ya milioni 100, demu atakuja kwako.


Kesho anakutakana na jamaa ana milioni 200, atakuacha anaenda kwa mchizi.


Kesho yake, anakutana na jamaa ana milioni 500, ataacha wa 200 na kwenda kwa huyu.


Unategemea huyu Demu atatulia lini kama yeye anapendea Pesa ??.


Pesa haijawahi mtosheleza MTU....Ushike moyo wake, kisha mmwagie izo pesa.
 
POL
Pole bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…