Dactari bingwa wa magonjwaa ya zinaa

Dactari bingwa wa magonjwaa ya zinaa

Baba Kapompo

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2013
Posts
1,344
Reaction score
468
Jamani nina umri usiopungua miaka 25 ila kwakuwa sijielewielewi (kunadalili tofauti za magonjwa ya zinaa katika mwili wangu kwa mda mrefu) na niliwahi kujaribu kupima magonjwa matatu tu nikaambiwa sina tatizo lolote lakini mimi najihisi ninatatizo.Naomba mnitajie ni dactari/hospital gani bingwa nitakayoweza kupima magonjwaa yoote ya zinaa(yaani zinaa check-up ..lol!) naishi ubungo then mnishauri nijipange kwa shilingi ngapi ili niweze kufanyiwa check up hiyo..

Nawasilisha
 
pole kaka! ngoja jamaa waje, ila kweli zina mbaa ndo imekufumua kichwa!natania
 
Back
Top Bottom