Dada anayetangaza pamoja na Sami Missago kwenye enewz ya eatv ni shida

Nakapenda,hakana mashauzi na mbwembwe alf kapo charming sio kambeya kambeya kana spirit flani hivi amazing
 
Dah watumiaji wa chura...tykijifanya tumekosea njia baada ya kustukiwa kwa ukali wa kukatisha kabisa penzi dah mambo hayo...huyo dada ni shida ni dunia nzima..ngoja nikamalize na @##MsB
 
Dhaaaa
Huyo chura
Mpaka anamzd
Kidot wang
 
Na akiwa anatangaza anasimama upande upande ili mzigo uonekane vizuri,Kuna yule Sasha wa siri za Familia nae dah mashallah
 
Watu wa mikoani mnamatatizo, huku Dar karibu kila demu utakayepishana naye ni mkali tena wa viwango vya juu kabisa kuliko huyo.
 
*Shukran sana mkuu
*Ubarikiwe sana mkuu
*Mungu akupe afya
*Mungu akujaalie uzima
*Akuepushe na maradhi
*Akujaalie familia bora
*Kila aliekudhamiria mabaya yasikupate
*Akufungulie rizki zako akufanyie wepesi
Hahahaha
 
Mimi huwa namuona kawa tvshow hawezi na hana mvuto wa kipindi. Kumbe wengine wameshaona mauno na umbile! Duuh!
Kina dada wanaajiriwa Kwa mengi,ushawah jiuliza shadee wa clouds alipataje kaz ya utangazaj pale na sauti ile mbaya iliyokauka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…