Mwanaume una wivu kwa mwanamke ka nini unataka na wewe uwe na papuchi?Vitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu
Uto wao wamepewa vibandiko vya utalii kwenye jezi zao[emoji38]
Akuna cha wivu apo uyo tunamuelewa vizuri Sana tabia yake sisi waliopo jikoni kwaiyo lazima tumpe makavu aache kujilinganisha na waliomzidi kiutendajiMwanaume una wivu kwa mwanamke ka nini unataka na wewe uwe na papuchi?
Acha uongo mwenyewe niliwasingiliza azam media walisema mazungumzo na simba yanaendelea. Kwann jitu nzima unapenda udaku badala ya factsWewe yanga uwa awakurupuki kuingia mikataba lazima waupitie vya kutosha ndo wausaini ata Kama upo mezani kwao, kuna klabu moja ilikurupuka ikasaini mkataba wa haki za matangazo ya tv inapewa 350 kwa mwaka🤣🤣🤣🤣 yanga ilishatoka uko chini ya CEO mwenye vyeti origino senzo mbatha, kwaiyo msije mkashangaa mkataba wa yanga unakuwa tofauti kabisa na wa dada yet u🤣🤣🤣🤣
ulimlipia ada mpaka umfundishe?uwa=huwa, ata=hata,kwaiyo=kwahiyo.
GSM hawezi wapandisha ndege Yanga, angalia hii ya kwenda Nigeria ameomba support kwa wananchi yuko radhi lile TATA liende hadi kigoma kuliko kuingia huo mkataba, mwaka huu kuna wachezaji wa Yanga watakuwa na jumba la KOBE makalioni...dah kwa hiyo Barba anaizidi Nguvu serikali kupitia ATCL kuwalazimisha watangaze tena ofcn kwa ATCL
na nimemsikia CEO wa ATCL kasema
vilabu vingine vinakaribishwa kuleta proposal kama Yanga wangekuwa kwenye mazungumzo kusingekuwa na cha kuficha maana sio dhambi..
hata CEO wa ATCL kasema anawaahukueu simba kwa uvumilivu toka Mwez wa Nne walikuwa wameanza mazungumzo leo mwez wa tisa .. sasa Yanga kasafiri mara ngapi toka mwez wa nne kwa nn asingelazimisha kipind hicho
anyway Mi naona hata club zote zikiingia mkataba wa namna hiyo ni sawa.. sababu ukiangalia huo mkataba faida kwa club ni kupunguza gharama sio kwamba ATCL atampa simba pesa ila Simba gharama zao za Safari zitapungua kutokana na tiket za bure na tiket za discount
kama walikuwa wanatumia 100m average kwa safar moja basi wanaweza wakajikuta wamepunguza hadi 70m kwa safar na wakipata milage kwenye vipeperushi vya ATCL na matangazo yake
huku ATCL nao wakipata Milage kwenye vipeperushi vya Simba na matangazo yake na pia wakijihakikishia wateja wakudumu kwa
miaka miwili..
Mbatha huyu Morocco siku3, visit Kilimanjaro and Z'bar kimataifa mwisho jumapili teh teh teh naiona mwisho wa reli na TATA inakuja....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bimdada anapambana kweli kutaka kujilinganisha na gwiji senzo mbatha lakini anajikuta amepigwa knok out mbaya sana
Well said .dah kwa hiyo Barba anaizidi Nguvu serikali kupitia ATCL kuwalazimisha watangaze tena ofcn kwa ATCL
na nimemsikia CEO wa ATCL kasema
vilabu vingine vinakaribishwa kuleta proposal kama Yanga wangekuwa kwenye mazungumzo kusingekuwa na cha kuficha maana sio dhambi..
hata CEO wa ATCL kasema anawaahukueu simba kwa uvumilivu toka Mwez wa Nne walikuwa wameanza mazungumzo leo mwez wa tisa .. sasa Yanga kasafiri mara ngapi toka mwez wa nne kwa nn asingelazimisha kipind hicho
anyway Mi naona hata club zote zikiingia mkataba wa namna hiyo ni sawa.. sababu ukiangalia huo mkataba faida kwa club ni kupunguza gharama sio kwamba ATCL atampa simba pesa ila Simba gharama zao za Safari zitapungua kutokana na tiket za bure na tiket za discount
kama walikuwa wanatumia 100m average kwa safar moja basi wanaweza wakajikuta wamepunguza hadi 70m kwa safar na wakipata milage kwenye vipeperushi vya ATCL na matangazo yake
huku ATCL nao wakipata Milage kwenye vipeperushi vya Simba na matangazo yake na pia wakijihakikishia wateja wakudumu kwa
miaka miwili..
Usiwe unamtaja senzo kwenye ujinga ujinga wenu aisee, yaani unamlinganisha senzo na babra? Uko serious kweli wewe na unachokiongea, ebu taja izo deal alizoleta uyo dada yenu na thamani yake, usije ukataja deal ambazo senzo aliacha ameset ukasema ni za babra, tunazijua bimdada alikuta ameshatafuniwa akaja kuserereka nazo na mikamera kibao,Dah kweli huyu dada ni kichwa sana toka ameingia naona deals za kutosha zinakuja tofauti na mtangulizi wake senzo,hapa simba watapunguza matumizi na kuongeza faida.
Pole Senzo ni mwanasiasa mpigaji tu muda aliokaa pale simba hakuna chochote tangible alijifanya kuanzisha mfumo wa kusajiri wanachama kupitia benki lakini ilibuma,lakini Barbara ameiwezesha timu kuingiza fedha zaidi ya bil moja kupitia mashindano ya caf,kasaini mkataba na vunja bei wa bil 2,na sasa amesaini mkataba wa mil 400 na atcl ambao utapunguza gharama za uendeshaji timu na mambo yote haya yanafanywa kwa mikataba sio brabra tu bado sijazungumzia hela iliyoingia kwa kuuza wachezaji haya huyo Senzo wako amefanya nini simba na huko utopoloni.Usiwe unamtaja senzo kwenye ujinga ujinga wenu aisee, yaani unamlinganisha senzo na babra? Uko serious kweli wewe na unachokiongea, ebu taja izo deal alizoleta uyo dada yenu na thamani yake, usije ukataja deal ambazo senzo aliacha ameset ukasema ni za babra, tunazijua bimdada alikuta ameshatafuniwa akaja kuserereka nazo na mikamera kibao,
Usiwe mshamba mkuu....Usiwe unamtaja senzo kwenye ujinga ujinga wenu aisee, yaani unamlinganisha senzo na babra? Uko serious kweli wewe na unachokiongea, ebu taja izo deal alizoleta uyo dada yenu na thamani yake, usije ukataja deal ambazo senzo aliacha ameset ukasema ni za babra, tunazijua bimdada alikuta ameshatafuniwa akaja kuserereka nazo na mikamera kibao,
Kwani asingekuwepo babra simba ingenyimwa pesa za caf? Simba imepata fedha za caf sio kwa sababu ya babra bwana wewe, walipata kutokana na hatua waliyofikia ya robo fainali na ilikuwa lazima wapewe ata kama ceo angekuwa mzee dalali hizo fedha zingeingia tu kwa mujibu wa utaratibu wa caf kwaiyo ondoa iyo hoja yako ya eti ameingiza zaidi ya bil.1 kwenye mashindano ya caf, hoja yako ya pili ya kusaini deal na vunja bei na yenyewe haina mashiko kwasababu kila kitu uwa kinajiuza kulingana na kinavyofanya vizuri sokoni kwa mda huo hivyo ata Kama angekuwepo ceo mwingine bado deal ingekuja nzuri kulingana na mzingira ambayo yalikuwepo, kwa mda huo ambao simba ilikuwa inafanya vizuri, hoja zako zote hizo hazina mashiko leta hoja ambayo itanishawishi ya kunionyesha deal ambazo amepambana yeye Kama yeye kuzileta sio mambo ya kitongaPole Senzo ni mwanasiasa mpigaji tu muda aliokaa pale simba hakuna chochote tangible alijifanya kuanzisha mfumo wa kusajiri wanachama kupitia benki lakini ilibuma,lakini Barbara ameiwezesha timu kuingiza fedha zaidi ya bil moja kupitia mashindano ya caf,kasaini mkataba na vunja bei wa bil 2,na sasa amesaini mkataba wa mil 400 na atcl ambao utapunguza gharama za uendeshaji timu na mambo yote haya yanafanywa kwa mikataba sio brabra tu bado sijazungumzia hela iliyoingia kwa kuuza wachezaji haya huyo Senzo wako amefanya nini simba na huko utopoloni.
Panua ufahamu wako mzee bila mipangilio mizuri ya kiuongozi na hapa namzunguzia CEO ambae ndie mtendaji mkuu hakuna lolote mnaloweza kufanya huyu mwanadada ameleta professionalism kwenye utendaji ndio maana timu imekuwa coordinated vizuri,kama unadhani ni rahisi kufika robo fainali muulize Senzo kwanini aliifikisha simba hatua ya awali ikatolewa na ud-songo,na kufanya vizuri kwa simba kumepelekea biashara pia zikubali kwenye kila aspects kuanzia kuuza bidhaa zake mpaka wachezaji kataa kubali yule dada ni kichwa na bado mpaka mtaomba poo.Kwani asingekuwepo babra simba ingenyimwa pesa za caf? Simba imepata fedha za caf sio kwa sababu ya babra bwana wewe, walipata kutokana na hatua waliyofikia ya robo fainali na ilikuwa lazima wapewe ata kama ceo angekuwa mzee dalali hizo fedha zingeingia tu kwa mujibu wa utaratibu wa caf kwaiyo ondoa iyo hoja yako ya eti ameingiza zaidi ya bil.1 kwenye mashindano ya caf, hoja yako ya pili ya kusaini deal na vunja bei na yenyewe haina mashiko kwasababu kila kitu uwa kinajiuza kulingana na kinavyofanya vizuri sokoni kwa mda huo hivyo ata Kama angekuwepo ceo mwingine bado deal ingekuja nzuri kulingana na mzingira ambayo yalikuwepo, kwa mda huo ambao simba ilikuwa inafanya vizuri, hoja zako zote hizo hazina mashiko leta hoja ambayo itanishawishi ya kunionyesha deal ambazo amepambana yeye Kama yeye kuzileta sio mambo ya kitonga
Alivyourekebisha huo mkataba unawaingizia tshingap mkuu? Mimi nafikiri chuki kwa senzo ndo inawatafuna, senzo ameingia pale simba ikiwa na hali gani kuanzia menejiment, saa nyingine muwe mnaheshimu uwezo wa mtu sio mihemko ya kishabiki ambayo haina mantiki, unatoa macho kabisa kwamba senzo ajafanya kitu simba? Senzo ameset mambo mengi Sana pale kama wewe ujui kamuulizeni bosi wenu atawaambia kama na yeye hatokuwa mnafiki lakini sisi tuliokuwa jikoni tunajua kafanya mengi uyo babra alikuwa anainyemelea nafasi yake kwa udi na uvumba sasa alifanikiwa lakini alikuta tiyali senzo keshafyeka misitu yeye akaja kuendeleza kazi ndogo tu alizoziacha senzo, unasema senzo anatukuzwa anatukuzwa na nani? Anabebwa na mafanikio yake kila anapoenda achana na habari ya cv maana iyo nayo inawatesa mnajikaba wenyewe, kwenye yoote umechagua deal la benk ya equity tu basi ndo mnapokimbilia apo mengine mbona amyasemi? Lakini ninajisumbua tu wewe ni miongoni mwa mashabiki wale wanaoshiba udaku wa mitandaoni sababu uko ni sagula sagula mtu akishashiba kande zake anaandika anachojisikia, Ningempata kiongozi wa simba akaongea unachoongea apa ndo ningepambana nae kwa hoja kwakuwa asingeweza kunificha chochote walioko jikoni tunajuana vizuri sanaUsiwe mshamba mkuu....
Senzo kaleta dili gani, mkataba wa kiduanzi na Equity ambao Barbra kaja kuurekebisha?
Dili gani aliyoileta senzo pale simba? Kitu gani kikubwa alichokifanya Senzo pale simba.
Eti ana CV kubwa, kuwa kwenye kamati ya maandalizi kombe la Dunia ( Sio sawa na kuongoza team za kibongo) .
Senzo anatukuzwa ila hakuna cha ajabu, alichofanya hapa Tanzania.
Hivi hujiulizi kutoka kuandaa kombe la dunia mpaka Yanga, kuna shida mahala.
Sent from my SM-M205F using JamiiForums mobile app
Rudia kusoma ulichoandika,Alivyourekebisha huo mkataba unawaingizia tshingap mkuu? Mimi nafikiri chuki kwa senzo ndo inawatafuna, senzo ameingia pale simba ikiwa na hali gani kuanzia menejiment, saa nyingine muwe mnaheshimu uwezo wa mtu sio mihemko ya kishabiki ambayo haina mantiki, unatoa macho kabisa kwamba senzo ajafanya kitu simba? Senzo ameset mambo mengi Sana pale kama wewe ujui kamuulizeni bosi wenu atawaambia kama na yeye hatokuwa mnafiki lakini sisi tuliokuwa jikoni tunajua kafanya mengi uyo babra alikuwa anainyemelea nafasi yake kwa udi na uvumba sasa alifanikiwa lakini alikuta tiyali senzo keshafyeka misitu yeye akaja kuendeleza kazi ndogo tu alizoziacha senzo, unasema senzo anatukuzwa anatukuzwa na nani? Anabebwa na mafanikio yake kila anapoenda achana na habari ya cv maana iyo nayo inawatesa mnajikaba wenyewe, kwenye yoote umechagua deal la benk ya equity tu basi ndo mnapokimbilia apo mengine mbona amyasemi? Lakini ninajisumbua tu wewe ni miongoni mwa mashabiki wale wanaoshiba udaku wa mitandaoni sababu uko ni sagula sagula mtu akishashiba kande zake anaandika anachojisikia, Ningempata kiongozi wa simba akaongea unachoongea apa ndo ningepambana nae kwa hoja kwakuwa asingeweza kunificha chochote walioko jikoni tunajuana vizuri sana
Kwaiyo kipindi cha senzo professionalism haikuwepo ndo ujinga mlioaminishwa, na kipindi simba inatolewa na ud songo unakumbu kumbu ilikuwa kwenye mazingira gani ambayo timu ilikuwepo?Panua ufahamu wako mzee bila mipangilio mizuri ya kiuongozi na hapa namzunguzia CEO ambae ndie mtendaji mkuu hakuna lolote mnaloweza kufanya huyu mwanadada ameleta professionalism kwenye utendaji ndio maana timu imekuwa coordinated vizuri,kama unadhani ni rahisi kufika robo fainali muulize Senzo kwanini aliifikisha simba hatua ya awali ikatolewa na ud-songo,na kufanya vizuri kwa simba kumepelekea biashara pia zikubali kwenye kila aspects kuanzia kuuza bidhaa zake mpaka wachezaji kataa kubali yule dada ni kichwa na bado mpaka mtaomba poo.
Vitu vidogo sana hivyo ata mwinjaku angeweza kufanya hicho tena zaidi yake, hakuna kipya apo bimdada anavyopenda attention anaweza akajisifu kweli kuwa ni kichwa kumbe empty tu