Ukweli unauma 😁😁😁Kuna Wadada wanapenda kuumizwa wenyewe, staff member center mpya ya kazi, dada haamini kuwa niko taken, amelazimisha aje ninapoishi.
(mke bado hajaja) nimemzuga ila mwishowe nimeona nimwambie ukweli kua hata akijichanganya tukasex akapata mimba chance ya kuwa na mimi ni 0, at best naweza m-support tu.
Kwakua nimejua lengo lake, nimeona asije akaji attach akaja kuumia mbeleni.
Kosa liko wapi?
Sikuona faida ya kutake advantage of her
HahahaaaKwani alikwambia anataka ndoa?
Pengine alitaka mchezeane Tu halafu muachane??.
Utakuja kuzushiwa maneno mengine bure ... wanawake wa Kiafrika hawataki kukataliwa 😅
Yeye ndo alitongozwa mkuuu elewa madaKwanini ulimtongoza wakati humtaki?.
Itakushushia Hadhi ya Uanaume Machoni pake.Nambie kile ntakachokikosa kama nisipomla mkuu,
Au unasemaje Mkuu[emoji3][emoji3]
Weweeee Kwa Dunia hiii, hata Demu unayemuanza weeeewe, Pigia ndom.Yawezekana anataka kumuunga kwenye grid.
🤣🤣🤣🤣🤣Umeshamkataa...
Umeshachezea block...
Kuna haja gani ya thread?
🤣🤣🤣🤣🤣
Umbea muhimu mkwe!
[emoji23] subiri hapo ndio umefikaMie mwenyewe kuna sehemu nimeganda hadi sasa wakati lengo langu lilikuwa nipige afu nipite hivi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maneno gani??Kwani alikwambia anataka ndoa?
Pengine alitaka mchezeane Tu halafu muachane??.
Utakuja kuzushiwa maneno mengine bure ... wanawake wa Kiafrika hawataki kukataliwa [emoji28]
Ndo hapo sasa,Afu siyo wanaume wote wanafaa Kwa ndoa......mnasex afu kilamtu apite hivi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni kibokoooo, khaaaahIvo yaan cute.... mwingine amebarikiwa dudu na namna ya kuitumia K,lakini kanyimwa utashi wa kuishi na mwanamke....bas atatumika Kama kunio