kao la amani
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 386
- 580
Unatueleza uvulana wako au? Nyie wavula na ukiwa mwanaume utaacha.Kuna Wadada wanapenda kuumizwa wenyewe, staff member center mpya ya kazi, dada haamini kuwa niko taken, amelazimisha aje ninapoishi.
(mke bado hajaja) nimemzuga ila mwishowe nimeona nimwambie ukweli kua hata akijichanganya tukasex akapata mimba chance ya kuwa na mimi ni 0, at best naweza m-support tu.
Kwakua nimejua lengo lake, nimeona asije akaji attach akaja kuumia mbeleni.
Kosa liko wapi?
Sikuona faida ya kutake advantage of her
Natafuta mbinu ya kutoroka hapa.[emoji23] subiri hapo ndio umefika
🤣🤣🤣🤣🤭 Tulia wewe 🤸[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni kibokoooo, khaaaah
Ilibidi iwe "Usiache msala upitao kwa mbachao iliyopo"Pamoja na hayo yote, hakikisha unamla hata Kimasihara.
Usiache mbachao Kwa masala upitao
utakuja kunishukuru
Wanaume kama wewe wamebaki wawili tu😂😂Kuna Wadada wanapenda kuumizwa wenyewe, staff member center mpya ya kazi, dada haamini kuwa niko taken, amelazimisha aje ninapoishi.
(mke bado hajaja) nimemzuga ila mwishowe nimeona nimwambie ukweli kua hata akijichanganya tukasex akapata mimba chance ya kuwa na mimi ni 0, at best naweza m-support tu.
Kwakua nimejua lengo lake, nimeona asije akaji attach akaja kuumia mbeleni.
Kosa liko wapi?
Sikuona faida ya kutake advantage of her
To yeye nakuita kwa mara ya kwanza na ya pili To yeye anataka binti aliwe atupwe huko😂😂😂Ivo yaan cute.... mwingine amebarikiwa dudu na namna ya kuitumia K,lakini kanyimwa utashi wa kuishi na mwanamke....bas atatumika Kama kunio
🤣🤣🤣Siyo ivo,ila mapenzi nimechoka nayoTo yeye nakuita kwa mara ya kwanza na ya pili To yeye anataka binti aliwe atupwe huko😂😂😂
Sexual pleasure ya dk 10 inaweza kukuharibia kila kitu ulichopanga, wengine ni ving'ang'anizi, ni bora kama akijiamualia kua yeye ni wa "use and dump" that's okSema una vi element flan hiv kama vya upinde wanaume hatupo Ivo
Unaomba ushauri badala ya kuchakata mbususu