Dada nafasi chukuwa

BULLDOZER

Member
Joined
Apr 21, 2012
Posts
59
Reaction score
3
Hi JF: Natafuta rafiki wakike ambaye baadaye atakuwa mkewangu.
Sifa:
1.Mkristu.

2. Age range from 24-28 yrs old.
3. Usiwe ushatowa mimba .
3. Uwe na upendo wa dhati.
4. Education level; Form 4 and above.
5. Etc.

Sifa zangu;
1. Nina; higher diploma ya uchumi
2. Nina 30 yrs old
3. Nimejiajiri mwenyewe
4. Etc.
Kwayeyote ambaye yuko-willingness tuwasiliane kupitia my e-mail:
jogookuku@ymail.com/kajogoo@ymail.com
 
.............................Data analysis.....................................chapuchapu................
 
yeyote ambaye yuko willingness? haijakaa vizuri; halafu kwenye hizo sifa ukisema etc, utaruhusu sifa za ziada ambazo zinaweza kukuacha hoi...
 

mkuu hapo pekundu kama alishawahi kutoa lkn akakudanganya kuwa hajawahi utaweza kujua kuwa anakudanganya?
 
ushajiita bulldozer, unataka umbulldose nani?
 
............................data analysis........................chapuchapu....................... mchumba
 
................................kaza .................................boot.........................usikate .............tamaa...................semanae............
 
.............................................haswa
 
mkuu hapo pekundu kama alishawahi kutoa lkn akakudanganya kuwa hajawahi utaweza kujua kuwa anakudanganya?

na tena watajitokeza na wengine walozaa na hata usijue badili sifa mpendwa hata waislamu unaweza kumbadili na akawa mcha mungu wa ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…