Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Hata kama hii stori sio ya kweli lakini inaakisi uhalisia wa mabinti wengi wa mjini
Muda wa kubishana na mtu huwa nakosa kabisa. Sidhani kama ana haki ya kuthibitishiwa kama ni kweli au si kweli. Nimeandika kilichonitokea kama haamini haiathiri kitu kwangu kabisa.
 
Daah ama kweli watu mna muda hii tamithilia yote duuh 🤣🤣🤣
 
nasemajee: pambaneni na timu yenu! Si tushakwambia MAMELODI wakufungwa nje ndani
usifosi ujasiri wako na wetu ufanane!
Weka 1 Milion kwenye mkeka. Hapo utakula kama 2 Milion. Nimekupa dili la hela. Usimsahau USM Alger alichukua point 3 kwa mkapa😀😀😀😀
 
Virusi vya ukimwi vinaambukizwa kwa haraka sana kwa njia ya haja kubwa,kuweni makini vijana.
 
Weee ni mpumbavu kqbisa mjinga na mshamba wa wanawake na utaumizwa siku zote ukiendeleza uwoo ubwege mshenzi
 
Amuombe msamaha wa nn uko na akili kichwani kwelii watu wengine kama vichaaa kwenye hii nchi
 
Mmm iv Jaman pesa mnatoa wapi Yaan stranger tu huna nae ata miez mitatu unampa Tsh 5,000,000/= pesa halali ya Tanzania [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Huwezi kumuelewa mwanamke daima. Hata wenyewe hawajielewi
 
Mwanamke akikuumiza hisia zako bora move on,au kama ni lazima umuumize better find alternative ways,lkn kumla tigo mtu ambayesi tabia yake ni unyama,binti ama dada zako wakifanywa hivyo how will you feel?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…