Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Jobwelldone.Ndio dawa yao. Unautulivu mkubwa na Subira Katika kupanga jambo. Na unajua kusimulia kwa namna isiyochosha
 
Mi hata sikuonei huruma. Unatuacha sie majirani zako tupo ambao hatuna mambo ya kidwanzi unaenda kupigwa na demu wa kisukuma...
Nasema hiviiiii na upigwe tena mara ya pili..🀣🀣🀣🀣
 

πŸ˜‚πŸ˜‚
Kweli ni bora uwe maskini wa pesa lakini sio Akili.

Siamini kama kuna mtu anaweza kufanyiwa hivyo.
 
Ulichofanya siyo ujanja wala nini, na wanawake nao pia kwakweli huwa wananishangaza, mwanamke mbele ya macho ya watu anaweza kujifanya anamsimamo na anajielewa kweli ila ukimpiga maneno mawili matatu anakubali kufanyiwa mambo haram kama hayo ya kumuingilia kinyume hapo hata ungetaka kumrekod video angekubali

Kuna muda nawaonea huruma na kuna muda nawaona hawana maaana kabisa vitu vingi vya kisenzi wanavyo fanyiwa huwa wanaridhia wenyewe baadae wanaonekana kama takataka alafu wanaanza kulia.
 
Mi hata sikuonei huruma. Unatuacha sie majirani zako tupo ambao hatuna mambo ya kidwanzi unaenda kupigwa na demu wa kisukuma...
Nasema hiviiiii na upigwe tena mara ya pili..🀣🀣🀣🀣
Sasa wewe fala mimi ni Chizi Maarifa ??
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Demi nikwambie tu ukweli hii biashara ya kutetemekea ma slay q...kamwe kwa age hii sifanyi ..kama nyege zinaua na zifanye zitakavyo...drama hapana hapana
 
Ndo nawashangaa mtu unatuma nauli mara ya kwanza unapigwa halafu unatuma tena mara ya pili.

Unamsubiri mtu aje haji, unarudia tena siku nyingine..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Sijui akili zenu huwa zinaendaga wapi nyie watu.
 
Ndo nawashangaa mtu unatuma nauli mara ya kwanza unapigwa halafu unatuma tena mara ya pili.

Unamsubiri mtu aje haji, unarudia tena siku nyingine..πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€. Sijui akili zenu huwa zinaendaga wapi nyie watu.
1. Mwanaume hupoteza pambano day one ...ujue haijaisha atapanga pambano lingine ili awe mshindi.

2. Vita vya mwanaume ni vibaya mno lazima ashinde, ukimpiga leo akawa mpole ahtuka sana.🀣🀣
 
Akizingua mara moja tu

Nafuta na namba kabisa.
 
"Basi sisi wanaume tulivyo dhaifu kwa new papuchi."

[emoji23] Imewahi kunikosti situation hii, tangu pale nmepunguza kuchanganyikiwa na new papuchi kwakweli nimekuwa makini sana sasa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…