Dada niliyekutana naye JF akawa mpenzi, leo tumetendana vibaya

Pole Kwa Maswahibu yaliyowafika wewe na huyo Mpenzi wako wa JF

Tuwe wakweli Wanaume, ngono inamaliza fedha zetu nyingi sana

Usipokuwa makini you can lose all you have

Nimejaribu hapo kupitia fedha aliyoitumia Mwamba naona ni zaidi ya 1.9M kwaajili ya Nyuchi 🙌 maana hapo nauli ya Flight DSM - Mwanza ni zaidi ya 560,000 kwenda na kurudi 1,120,000 bado hizo gharama za hotel, chakula .nk

Chamsingi ulipiga Chata 😜
 
Safi sana kamanda ndo dawa yao kima hawa
 
Mkuuu hao huwa wana sahau wanayo sema huko nyuma. Hawakumbuki ya zamani.
 
Mkuu nataka nikutumie hela ya 🍺 Bia au Kvant, nikutumie kwa namba gani.

Ume tuwakilisha vyema sana MABAHARIA
 
U
Ungemwacha tu mkuu, sasa hadi umlawiti?
Kweli alikukosea lakini kumlipa ulawiti duh! Japo mlikubaliana ila hili ni kubwa sana aise
Anyways wanawake wanapaswa kujifunza sana katika hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…