Dada Poa waliodhibitiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo walitokomea wapi?

Dada Poa waliodhibitiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo walitokomea wapi?

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo?

Wako wapi?
Ama wanafanya nini kwa wakati huu?
Walijiajiri ama kuajiriwa wapi?

Hii inastaajabisha sana! Hata Dinosours hawaku-perish kirahisi hivi kutoka kwenye uso wa dunia, maake hata mitaani hatuwaoni tena hao dada zetu

Sijauliza kwa ubaya, hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha hususani kwa sie madomo zege, wazee wa kubana pesa a.k.a wana-UWABATA na ambao tuna makovu ya ajabu ya usaliti. CHAPUTA inazidi kudunda

Wako wapi?😭
 
Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo?

Wako wapi?
Ama wanafanya nini kwa wakati huu?
Walijiajiri ama kuajiriwa wapi?

Hii inastaajabisha sana! Hata Dinosours hawaku-perish kirahisi hivi kutoka kwenye uso wa dunia, maake hata mitaani hatuwaoni tena hao dada zetu

Sijauliza kwa ubaya, hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha hususani kwa sie madomo zege, wazee wa kubana pesa a.k.a wana-UWABATA na ambao tuna makovu ya ajabu ya usaliti. CHAPUTA inazidi kudunda

Wako wapi?😭
Nimecheka kama fala
 
Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo?

Wako wapi?
Ama wanafanya nini kwa wakati huu?
Walijiajiri ama kuajiriwa wapi?

Hii inastaajabisha sana! Hata Dinosours hawaku-perish kirahisi hivi kutoka kwenye uso wa dunia, maake hata mitaani hatuwaoni tena hao dada zetu

Sijauliza kwa ubaya, hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha hususani kwa sie madomo zege, wazee wa kubana pesa a.k.a wana-UWABATA na ambao tuna makovu ya ajabu ya usaliti. CHAPUTA inazidi kudunda

Wako wapi?😭
wapo tabata segerea chama gest moja hivi mbele ya hiyo gesti kuna frem za za kampuni moja maarufu sana ya kuuza ya Icream ndiko hujianika hapo kuanzia saa1 usiku mara tu baada ya duka hilo kufungwa.

Ni hatari sana, na tayari mamlaka zimeshaarifiwa na for sure madada hawa their days are numbered pamoja na wateja wao, itakua ni fedheha sana siku hiyo ikifika. Usithubutu 🐒
 
Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo?

Wako wapi?
Ama wanafanya nini kwa wakati huu?
Walijiajiri ama kuajiriwa wapi?

Hii inastaajabisha sana! Hata Dinosours hawaku-perish kirahisi hivi kutoka kwenye uso wa dunia, maake hata mitaani hatuwaoni tena hao dada zetu

Sijauliza kwa ubaya, hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha hususani kwa sie madomo zege, wazee wa kubana pesa a.k.a wana-UWABATA na ambao tuna makovu ya ajabu ya usaliti. CHAPUTA inazidi kudunda

Wako wapi?😭
Wanaendelea na biashara yao kama kawaida, yeye DC nani hadi azuie watu kungonoka?
 
DC aliutaka RC kwa nguvu....pia sababu imani moja alijua nitasikika na kupandishwa......Mama angemsikia kumsifiaaa
Alitukwaza sana wana-Ubungo na wana Daslam kwa ujumla, ona sasa wimbi la wanaume linahamia kwenye sketi za kijana kibichi zenye marinda kwa lengo la kutatua na kuharibu. Huku ni kutwishana mzigo wa miaka 30 bila sababu

Kwa bajeti yangu ya 8k kwa siku, 3k niliitumia pale Riverside, 5k kwenye masuala ya vocha na msosi, siku quishney
 
Hivi umewahi kujiuliza mahali walipokimbilia wale dada poa (vipozeo) baada ya kudhibitiwa na mkuu wa wilaya ya Ubungo?

Wako wapi?
Ama wanafanya nini kwa wakati huu?
Walijiajiri ama kuajiriwa wapi?

Hii inastaajabisha sana! Hata Dinosours hawaku-perish kirahisi hivi kutoka kwenye uso wa dunia, maake hata mitaani hatuwaoni tena hao dada zetu

Sijauliza kwa ubaya, hali inazidi kuwa mbaya kila kukicha hususani kwa sie madomo zege, wazee wa kubana pesa a.k.a wana-UWABATA na ambao tuna makovu ya ajabu ya usaliti. CHAPUTA inazidi kudunda

Wako wapi?😭
Ulikwenda wapi ukawakosa
 
Hii biashara ni kazi kuicontrol nilikuwa nimeenda vijiji vya mkoa njombe lugenge, uliwa , ngalanga, lusitu na miva kwa kazi flan kule Kuna wadada wametoka mjini wamekuja kuzisaka pesa za vijana walima viazi kijana anayeitaji huduma anakunjia pesa kwenye sikio bi dada anamfata wanamalizana , msimu wa viazi ukiisha wadada wote wanapotea wanakwenda kwingineko kusaka mali
 
Hii biashara ni kazi kuicontrol nilikuwa nimeenda vijiji vya mkoa njombe lugenge, uliwa , ngalanga, lusitu na miva kwa kazi flan kule Kuna wadada wametoka mjini wamekuja kuzisaka pesa za vijana walima viazi kijana anayeitaji huduma anakunjia pesa kwenye sikio bi dada anamfata wanamalizana , msimu wa viazi ukiisha wadada wote wanapotea wanakwenda kwingineko kusaka mali
Sasa hv wapo liwale kwenye korosho
 
Back
Top Bottom