Dada, usiingie kwenye mahusiano na wanaume wenye majina haya

Akina tusiokwepo hapo tujuane hapa,ila nimegundua mtoa post alitaka kuchafua majina ya kiume yote ishu ni hana uwezo wakuyataja yote
Siyo nachafua nsio uhalisia huko mkuu, na hapo upo usijitie upofu, kama hupo wewe rafiki yako yupo na mnashare tabia
 
Ingawa ni kama ubashiri ila nimeona jina langu nimecheka sana. Halafu ndivyo nilivyo. Knuckle-head! Hatari sana!
 
Tako, nguvu asili ya mwanamke.

Ukizaliwa nalo yaani ukiwa na tako la asili ni tajiri tayari, ila ukiwa na la mchina mafanikio yatakiwa ya muda tuu.
Mbona ipo mitako mingi mtaani inalandalanda tu na watu hawaoni utajiri wao kabisa
 
Hizi ni hujuma
 
Afadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…