dada utamtokeaje mvulana uliyempenda?

mmmh, wee mfuate akiwa peke yake, neno litakalokuja hilohilo mwambie.

Usijiandae sana utaharibu, kama ana akili timamu atajua tu ushafika bei.
 
Duuuuuuuh! Nyie ni nomaaaaaaaaa!
 
Wewe ni veteran wa kuchakachua.......kabla hajakuanza tayari umeshamtongoza....Wakati mwingine jifanye saint utatongozwa tu.

Mh! we mkare mkuu!! ngoja nijaribu kuapply genaral fomular yako!! ....... hiv umukuluthumu alikutokea ee?
 
Easy, kamtembelee kwake haswa kama anaishi getto au peke yake. Kama mimi akija demu kwangu hata kama nimeoa na nina watoto 20 simuachi.
 
Mie nadhani kama una hisia na mtu hata macho yanaongea mkikutana ..zile kofidence za kumwangalia zinatoweka kunakuwa na vijimambo visivyo vya kawaida vinakutokea..hautakuwa mkakamavu kama mgambo kwenye rigwaride
Kama ni mwelewa hatakusumbua binti....kwani kuna sehemu mapenzi yanakutatiza? pole
 
 
Last edited by a moderator:
Natoka church sasa hivi...na yaliyojiri yamenipa sababu ya kuchangia huu uzi.

Uwa naenda church na company ya jirani yangu dada wa kimarekani, ni mdogo ana miaka 23. Leo amenifurahisha sana.

Ameniuliza NK umemwonaje kwaya master wa leo. Nikamwambia ni handsome na anamjua Mungu hivyo could make a good husband.

Dada kaanza kutiririka "... wakati naenda kukomunika amenichekea...nilishakutana nae kwenye Jazz party nikaongea nae...na yeye anatoke US. So he has two points...anatoka US afu ni mcha Mungu". Ilibidi nicheke na mimi nikaendelea kuchombezea..kuwa its so hard these days kupata kijana anayemjua Mungu. Akajibu "I think so too"


Point hapa ni kuwa wenzetu wadada wa nchi za ulimwengu wa kwanza hawaoni shida kuonyesha hisia zao kwa wawapendao...hivyo wana chance kubwa ya kuwa na urafiki na chaguo la moyo wao...sisi tunasuburi tuchaguliwe...kama una gundu unakuta kila akufataye ndivyo sivyo..mlevi...player etc.
 
Easy, kamtembelee kwake haswa kama anaishi getto au peke yake. Kama mimi akija demu kwangu hata kama nimeoa na nina watoto 20 simuachi.

Naunga mkono hoja.
 
Q-Chillar alishaimba. Macho peke yake yanatosha kueleza kwamba nakupendaaaaaaaaaaaaaaaaa! So msichana unaweza kutumia ubunifu wa hiyo organ hiyo muhimu. then kulowanisha lips wakati unaongea naye!
 
mwambie nikinywa na maji nakuona kwenye glass.
 
Kwa kujipitisha pitisha ili akuone kila inapowezekana kufanya hivyo na kuwa na uchangamfu wa hali ya juu na tabasamu za kufa mtu mpaka somo lieleweke.



mii nafunguka tu kiaina
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaaaaaaaa, hiii nimeipenda,
cna mbavu lol....
muulize kama ana facebook page

kama anayo unam add halafu kila ujinga atakao post
unaweka likes na ku comment kama ni jambo la maana saana lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…