Dada wa Kiongozi Mkuu wa kikundi cha Hamas Ismail Haniyeh auawa na Jeshi la Israel

Piga hao, sasa hivi mnaanza kulia Lia kuomba msaada kichapo kiendelee mpaka mseme Oct 7 nani aliwatuma.
 
Cheka vizuri tu, siku unakufa ndio utacheka vizuri
Mlidanganywa na iran mkaichokoze israel october 7 mkawaua wayahudi 1200 na Netanyahuu ameapa atawasaga ili iwe fundisho kwa magaidi na vizazi vyao siku nyingine israel sio taifa la kuchezewa sasa iran kawakacha na allah mwenyewe hawasaidii mnalilia dunia iwatete
 
Piga hao, sasa hivi mnaanza kulia Lia kuomba msaada kichapo kiendelee mpaka mseme Oct 7 nani aliwatuma.

Kwani israel ameanza leo kuuwa watoto, wamama na wazee!, zaidi ya miaka 70 wao ni kuuwa tu

وَلَا تَحْسَبَنَّ الَّذِينَ قُتِلُوا فِي سَبِيلِ اللَّهِ أَمْوَاتًا ۚ بَلْ أَحْيَاءٌ عِنْدَ رَبِّهِمْ يُرْزَقُونَ
169 Al-'imran(The Family of Imran)
Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao ni wahai, wanaruzukiwa kwa Mola wao Mlezi.

فَرِحِينَ بِمَا آتَاهُمُ اللَّهُ مِنْ فَضْلِهِ وَيَسْتَبْشِرُونَ بِالَّذِينَ لَمْ يَلْحَقُوا بِهِمْ مِنْ خَلْفِهِمْ أَلَّا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ
170 Al-Imran
Wanafurahia aliyo wapa Mwenyezi Mungu kwa fadhila yake, na wanawashangilia wale ambao bado hawajajiunga nao, walio nyuma yao, ya kwamba haitakuwa khofu juu yao wala hawatahuzunika.

يَسْتَبْشِرُونَ بِنِعْمَةٍ مِنَ اللَّهِ وَفَضْلٍ وَأَنَّ اللَّهَ لَا يُضِيعُ أَجْرَ الْمُؤْمِنِينَ
171 Al-Imran
Wanashangilia neema na fadhila za Mwenyezi Mungu, na ya kwamba Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa Waumini

الَّذِينَ اسْتَجَابُوا لِلَّهِ وَالرَّسُولِ مِنْ بَعْدِ مَا أَصَابَهُمُ الْقَرْحُ ۚ لِلَّذِينَ أَحْسَنُوا مِنْهُمْ وَاتَّقَوْا أَجْرٌ عَظِيمٌ
172 Al-Imran
Walio mwitikia Mwenyezi Mungu na Mtume baada ya kwisha patwa na majaraha - kwa walio fanya wema miongoni mwao na wakamchamngu utakuwa ujira mkubwa -
 
Dadekii yaani Netanyahuu hacheki na kimaa
Kweli hacheki nakima kawamaliza wanajeshi wa Israel, afu anakuambia wamekufa 1000 tu haha.

Siku za nyuma wale Majewish wavaa mikofia na ndevu walikuwa hawaguswi au kuingizwa jeshini, sasa wanawalazimisha waende vitani haha.

Kima wame malizwa afu wanakuambia tukitoka hapa tunaenda Lebanon, ataenda vita na watu wapi vitani hata wanajeshi hana, wameuliwa na wengine wanakimbia hawataki kurudi Gaza.

Jeshi la kishoga kweli hilo wakiwa wanataka kuvamia sehemu, wanawafunga vijana wa Palestine raia wa kawaida kwenye magari yao ya jeshi, ili Hamasi asiyaripue hahaha


View: https://youtu.be/Yby9jYrFS90?si=VQBWHq9sNgIZsjzl
 
Siku mkimuua kuku /jogoo la Ismail Haniyeh. Mtakuja kuripoti hapa?🤣🤣

Huu ni msiba
 
Inatakiwa magaidi yauliwe miaka na miaka mpaka yaseme allah ni Mwongo hawasaidii
 
Now kaka mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…