Dada wa Mwai Kibaki na mwanae : Nini siri ya kufika umri huu

Dada wa Mwai Kibaki na mwanae : Nini siri ya kufika umri huu

Lady Mwali

Senior Member
Joined
Nov 15, 2018
Posts
147
Reaction score
333
Mtu na mwanae wote wazee

FB_IMG_16513310118483071.jpg
 
Kuna uzi humu jamaa anasema kuishi umri mrefu pia hutegemea na dna ya ukoo wenu, kuna watu koo zao huishi miaka mingi ilhali wengine hufa mapema.

Niliiamini hii nadharia kwa kiasi chake, chunguza koo yako kama kuna wazee waloishi miaka tele basi weye na kizazicho si ajabu mkaishi miaka tele,
 
Wana hela Tena ngazi ya utajiri Sasa wanwezaje kufa kizembe?
Kumbuka umasikini ndo chanzo Cha vifo vingi Duniani
Michael Jackson alikuwa masikini!?
Kumbuka kifo sio lazima ufe kwa njaa au maradhi tu, kuna ajali pia.

Umri mrefu ni majaliwa tu ya M/Mungu.
 
Back
Top Bottom