Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
90 imemtosha..aiseeeee mwai mwenyewe usikute amewahi sababu ya mikiki ya uongozi
Unywaji maziwa ya ngamia na mirungi
Hao ngamia wenyewe huwa wanaishi miaka mingapi?Unywaji maziwa ya ngamia na mirungi
... exactly; umri ni majaaliwa ya Mola; hakuna la ziada awezalo kufanya mwanadamu kujiongezea japo nukta moja ya umri wake.Ni maisha tu unakuta Mungu amekujalia.
Miaka 70 mpaka 100Hao ngamia wenyewe huwa wanaishi miaka mingapi?
Michael Jackson alikuwa masikini!?Wana hela Tena ngazi ya utajiri Sasa wanwezaje kufa kizembe?
Kumbuka umasikini ndo chanzo Cha vifo vingi Duniani
Tupunguze kukatika viuno Sana tupatapo pesaaiseeeee mwai mwenyewe usikute amewahi sababu ya mikiki ya uongozi