Dada yako unayempenda sana anataka aolewe na jamaa ambaye una bifu naye la 2-Pac na Big

Dada yako unayempenda sana anataka aolewe na jamaa ambaye una bifu naye la 2-Pac na Big

Husika na kichwa hapo juu.

Utamridhisha dada yako wako wa pekee kwa kuruhusu aolewe naye huyo jamaa ambaye ni paka na panya kati yenu au utamkatalia ili abaki bila furaha (ambayo ndio kitu unapenda awe nacho)
Mtoto wa kume unakuwaje na bifu na mtu? Halafu kwani wewe ndo unatoa ruhusa ya dada kuolewa au kutokuolewa?
 
Husika na kichwa hapo juu.

Utamridhisha dada yako wako wa pekee kwa kuruhusu aolewe naye huyo jamaa ambaye ni paka na panya kati yenu au utamkatalia ili abaki bila furaha (ambayo ndio kitu unapenda awe nacho)

Kwani wewe ndo utaenda honeymoon na Huyo Jamaa? Kama ana tabia njema na potential husband Acha aoe!
 
Mtoto wa kume unakuwaje na bifu na mtu? Halafu kwani wewe ndo unatoa ruhusa ya dada kuolewa au kutokuolewa?
Chukulia wewe ndio kaka mkubwa...au mfano ndio umemlea,somesha??
 
Back
Top Bottom