Tena kazi maalum!Ina kazi.......
Naomba namba ya simu ya dada yako
Ukiipata niforwardie......
Mnaitaka ya kazi gani tena ndugu zanguni mbona mnanitisha?
Wewe umeacha lini umbea?Acha umbea na wewe,yalishapita hayo
umesema dushelele ilivishwa kinga, na umesema dushelele haijatahiriwa, na ilikuwa usiku. Na hamkuwahi kujadili kuhusu jambo hilo. Swali langu: uliwezaje kujua kuwa dushelele iliyokuwa ndani ya kinga haijatahiriwa?
Kumbe nawe ni mbea???Wewe umeacha lini umbea?
Si ulinifundisha weweKumbe nawe ni mbea???
Kwan ulimkuta anafanya kaz gani?Mnaitaka ya kazi gani tena ndugu zanguni mbona mnanitisha?
Sio msagaji sababu anajinsia mbili...ugomvi ulihusu nn? Kwa hiyo hapo kuna v2 vingi vya kukushauri, ikiwemo jinsi ya kumshauri sister aachane na usagaji pia usijal kila ki2 hupangwa na huwez kwepa na mungu alipanga ulifahamu hilo kwa njia hiyo, pili ilihali anaishi nakuomba achana na kuliwaza na maisha yasonge.