Daa 🤣🤣Naomba namba ya simu ya dada yako
Ukiipata niforwardie......
Pole, inaonekana una tatizo kubwa la kisaikolojia baada ya kushuhudia hiyo drama. Unatumia pombe?
umejuaje zote zinafanya kazi???????????????
...ugomvi ulihusu nn? Kwa hiyo hapo kuna v2 vingi vya kukushauri, ikiwemo jinsi ya kumshauri sister aachane na usagaji pia usijal kila ki2 hupangwa na huwez kwepa na mungu alipanga ulifahamu hilo kwa njia hiyo, pili ilihali anaishi nakuomba achana na kuliwaza na maisha yasonge.
Hahahauliwakuta kama walivyozaliwa.?basi huo haukuwa uume,kilikuwa ni kitovu bado hakijakatwa..
umesema dushelele ilivishwa kinga, na umesema dushelele haijatahiriwa, na ilikuwa usiku. Na hamkuwahi kujadili kuhusu jambo hilo. Swali langu: uliwezaje kujua kuwa dushelele iliyokuwa ndani ya kinga haijatahiriwa?
DuuhKwa sababu yeye kimuonekano ni mwanamke mrembo sana,Kuanzia, sura, umbo, matendo yake, suati nakadhalika, but ndio hivyo tena ana uume ( inaniuma sana kuwa na dada ambaye ni jike dume ), kwa jinsi alivyo ingependeza sana kama angeolewa na kuanzisha familia yake na kuleta heshima kwa familia yetu but ndo hivyo tena sidhani kama ataolewa
Taa ilikuwa imewashwa na niliona kwa karibu sana ( CLOSE RANGE ) walikuwa wameangushana chini, so niliona kitu kila katika purukushani za kuamulia ugomvi
Ukiona hivyo ujue hao wadada huwa wanakuja kupatiwa dozi, na mkubwa wako.
Nini kinafanya moyo wako ukuume? Wewe ungezaliwa hivyo ungefanyaje?
Sikia Majidai, wapo watu walioumbwa hivyo. Hata ukigugo shemale utawaona hatu wa jinsi hiyo. Huna sababu ya kuumia mpende tu dada yako ndivyo alivyoumbwa na wala si mkosi katika familia.
Zamani za mababu ilikuwa mtoto akizaliwa wa namna hiyo anauawa. Siku hizi wapo wengi tu.
Naamwewe mshukuru mungu dada yako ameshajikubali na anaishi!
Ukishindwa kumwelewa wewe utakua unajitesa bila sababu tu
DuuhDada yako ni Hermaphrodite ingawa katika hali yake jinsia iliyo active ni hiyo jinsia ya kiume, jinsia yake ya kike haifanyi kazi bara bara na ndiyo maana hujawahi kusikia kama dada yako ana boyfriend. Proof ya pili kuwa dada yako ame base kwenye jinsia ya kiume ni uwepo wa dada hawa wawili. Ikiwa angeingia mwanaume akawafumania kule chumbani basi tungesema kuwa jinsia zote mbili zinafanya kazi. Physicall ni Hermaphrodite lakini ana uke usiofanya kazi ipasavyo. Matiti aliyonayo yanamfanya akubali kuitwa ni dada yako vinginevyo inaonyesha angependa sana kuitwa KAKA.
Kwa upande wako nakushauri kuwa hili si jambo la ajabu wapo wengi wenye hali hizo tatizo kwao jinsia zao zote ziko dormant japo kwa ile ya kike inalazimishwa tu kutumika kama "uke"
Mmh, pole zake kwa kweli
Ila kama haumwi hofu ya nini?
Naomba namba ya simu ya dada yako
jf kiboko, unacheka hadi unashtukiwa na ofisini. sipati picha huyo dada anavyotafuna vikojoleo vya wenzake
Wakati naamulia ugomvi walikuwa wa mnyama na ilikuwa imesimama, ni dushelele kama ya mwanaume kabisa tena inaweza kuwa inazidi dushelele za wanaume wengi tu
Sina hofu isipokuwa nimetaharuki tu kujua kwamba dada yangu yupo hivyo, i wish ningejua mapema zaidi
MAJIDAI pole sana kwa kujua siri hiyo tena bila kutarajia.
Nafikiri ni vyema kukubaliana na ukweli huo as hauwezi kuubadili. Kama hii habari ni kweli na dada yako ana jinsia 2.. Ni uumbaji wa Mungu na hata ukiendelea kushangaa na kutokuamini ni kazi bure.
Weka mguu wako ktk kiatu chake, unafikiri yeye alipenda awe hivyo. Pia unafikiri anajisikiaje hasa baada ya kaka yake kujua siri yake???
Pengine wazazi wako walifanya kila waliloweza kumsaidia ikashindikana either kutokana na mazingira yetu au hata matatizo ya kiuchumi hivyo hakuna wakulaumiwa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
NaamHii itakuwa sio kweli kabisa na kama ni kweli usingekuja kuandika kwenye social Network una uhakika gani huyo unayesema ni dada yako hatumii Jf? Na ikiwa anatumia akisoma hii mada huoni utakuwa umejigombanisha na huyo dada yako? Acha kutudanganya wewe tumeshakua sasa umesikiaee kama vp kakojoe ukalale maana hadidhi uliyosimuliwa uje kutusimulia imekuwa nzuri na hujatujuza inatufundisha nini.
The only thing nitakacho kushauri kuhusu dada Ako is she is blessed with two genital male and female it's only God decided to do that and you can't denie it. So kwa haraka haraka naona ni mda muafaka wa wewe kukaa na dada/ kaka ako kujua ni kipi anataka kupewa mimba au kumpa mtu mimba that a blessing bro enjoy itHabari zenu wana JF. Naomba kushare nanyi suala hili kuhusu dada yangu wa tumbo moja ambalo sikuwahi kulihisi, kulidhani wala kulijua kwa zaidi ya miaka 20. Kifupi mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23 ( Natimiza miaka 24 mwezi Juni mwaka huu ). Kwa sasa ninasoma mwaka wa mwisho katika chuo kikuu kimoja hapa nchini Tz .
Kwetu tumezaliwa watatu dada zangu wawili, wa kwanza alizaliwa miaka ya sabini ( R.I.P ) na huyu wa pili ambaye ndie point of discussion, alizaliwa mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1980. Ngoja niende moja kwa moja kwenye point, siku ya jumamosi iliyopita ( tarehe 27 APRILI 2013 ) saa nne kamili za asubuhi nilienda kumtembelea dada yangu ( ni msomi/ ana masters/kazi nzuri na miradi mikubwa/hana mume, mtoto wala sijawahi kusikia chochote kuhusu kuwa na rafiki wa kiume yaani boyfriend )...Nilienda pale kwa ajili ya kupiga mzinga kidogo na nilipanga kurudi hosteli ambako ninaishi siku iliyokuwa inafuata yani jumapili.
Mida ya saa sita mchana, aliwasili mdada mmoja ambaye ninamjua kama rafiki wa karibu wa dada yangu, tulisalimia kisha dada akaja kumpokea mgeni wake kisha wakaelekea ukumbini, baadaye nikarudi zangu chumbani kwangu na kuendelea kucheza na laptop yangu. Yalipita kama masaa mawili hivi mdada mwingine aliwasili nyumbani na kuingia moja kwa moja chumbani kwa sista ( sikujua kilichokuwa kinaendelea coz wakati huo nilikuwa chumbani, ila nilikuja kujua baadaye kwamba kuna mdada mwingine alikuja nyumbani pale ).
Nilikuja kustushwa baadaye na kelele za ugomvi mkubwa sana, zikitoka chumbani kwa dada yangu ambako nilisikia kelele, na matusi mazito yakiporomoshwa, vilio na chupa zikivunjwa vunjwa hovyo, sikuwa na jinsi nikaamua kukimbilia upande kilipo chumba cha dada yangu kutoa msaada. Kufika sikuamini kilicho tokea, nilimkuta dada yangu na yule dada mwingine ambaye nilikuwa namjua kama rafiki yake wakiwa kama walivyo zaliwa, wamelewa wanagombana na huyu mdada mwingine aliyekuja wakati mimi nimo ndani, huyu dada mwingine alikuwa anamshambulia yule dada aliyekuja mara ya kwanza na dada yangu alikuwa anajaribu kumzuia..
Kilicho nishangaza zaidi kuhusu dada yangu ni kwamba ana uume ( tena mkubwa tu kama uume wa mwanaume rijali, umesimama barabara na umevalishwa kinga ), mwanzoni nilidhani labda amevaa midoli lakini haikuwa hivyo, nii uume kabisa ( ambao haujatahirwa lakini ).. Nilicho kifanya ni kumtoa yule dada aliyekuja mwishoni hadi nje kisha nikarudi zangu chumbani kwangu....
Sikufanikiwa kuongea na dada yangu usiku huo hadi kesho yake but sikuongea chochote kuhusu kilicho tokea jana yake though aliniomba radhi kwa kilicho tokea but hatukuzungumzia kabisa kuhusu suala la yeye kuwa na jinsia mbili..Kusema ukweli suala hili linanikosesha sana raha na i dont know how will i cope with it.sitaongea na yoyote wala sitawauliza wazazi wangu but picha hii nitakaa nayo kwa muda mrefu sana, simuoni tena dada yangu kama nilivyo kuwa naumona before..
NAOMBA KUWAULIZA , HIVI HILI NI SUALA LA KAWAIDA KWELI KWA MWANAMKE KUWA NA JINSI MBILI NA ZOTE ZIKAWA ZINAFANYA KAZI ! AU NI KWA DADA YANGU TU? NAHISI LIKE ITS A KIND OF BADLUCK TO OUR FAMILY..PLEASE NIPENI USHAURI WENU
Hutokea binadam wakawa na viungo vya kike na vya kiume, na pia vyote vikaweza kufanya kazi sawa au kimoja kikafanya kazi kingine kisifanye au kimoja kikafanya kazi zaidi kuliko kingine.Habari zenu wana JF. Naomba kushare nanyi suala hili kuhusu dada yangu wa tumbo moja ambalo sikuwahi kulihisi, kulidhani wala kulijua kwa zaidi ya miaka 20. Kifupi mimi ni kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 23 ( Natimiza miaka 24 mwezi Juni mwaka huu ). Kwa sasa ninasoma mwaka wa mwisho katika chuo kikuu kimoja hapa nchini Tz .
Kwetu tumezaliwa watatu dada zangu wawili, wa kwanza alizaliwa miaka ya sabini ( R.I.P ) na huyu wa pili ambaye ndie point of discussion, alizaliwa mwanzoni kabisa mwa miaka ya 1980. Ngoja niende moja kwa moja kwenye point, siku ya jumamosi iliyopita ( tarehe 27 APRILI 2013 ) saa nne kamili za asubuhi nilienda kumtembelea dada yangu ( ni msomi/ ana masters/kazi nzuri na miradi mikubwa/hana mume, mtoto wala sijawahi kusikia chochote kuhusu kuwa na rafiki wa kiume yaani boyfriend )...Nilienda pale kwa ajili ya kupiga mzinga kidogo na nilipanga kurudi hosteli ambako ninaishi siku iliyokuwa inafuata yani jumapili.
Mida ya saa sita mchana, aliwasili mdada mmoja ambaye ninamjua kama rafiki wa karibu wa dada yangu, tulisalimia kisha dada akaja kumpokea mgeni wake kisha wakaelekea ukumbini, baadaye nikarudi zangu chumbani kwangu na kuendelea kucheza na laptop yangu. Yalipita kama masaa mawili hivi mdada mwingine aliwasili nyumbani na kuingia moja kwa moja chumbani kwa sista ( sikujua kilichokuwa kinaendelea coz wakati huo nilikuwa chumbani, ila nilikuja kujua baadaye kwamba kuna mdada mwingine alikuja nyumbani pale ).
Nilikuja kustushwa baadaye na kelele za ugomvi mkubwa sana, zikitoka chumbani kwa dada yangu ambako nilisikia kelele, na matusi mazito yakiporomoshwa, vilio na chupa zikivunjwa vunjwa hovyo, sikuwa na jinsi nikaamua kukimbilia upande kilipo chumba cha dada yangu kutoa msaada. Kufika sikuamini kilicho tokea, nilimkuta dada yangu na yule dada mwingine ambaye nilikuwa namjua kama rafiki yake wakiwa kama walivyo zaliwa, wamelewa wanagombana na huyu mdada mwingine aliyekuja wakati mimi nimo ndani, huyu dada mwingine alikuwa anamshambulia yule dada aliyekuja mara ya kwanza na dada yangu alikuwa anajaribu kumzuia..
Kilicho nishangaza zaidi kuhusu dada yangu ni kwamba ana uume ( tena mkubwa tu kama uume wa mwanaume rijali, umesimama barabara na umevalishwa kinga ), mwanzoni nilidhani labda amevaa midoli lakini haikuwa hivyo, nii uume kabisa ( ambao haujatahirwa lakini ).. Nilicho kifanya ni kumtoa yule dada aliyekuja mwishoni hadi nje kisha nikarudi zangu chumbani kwangu....
Sikufanikiwa kuongea na dada yangu usiku huo hadi kesho yake but sikuongea chochote kuhusu kilicho tokea jana yake though aliniomba radhi kwa kilicho tokea but hatukuzungumzia kabisa kuhusu suala la yeye kuwa na jinsia mbili..Kusema ukweli suala hili linanikosesha sana raha na i dont know how will i cope with it.sitaongea na yoyote wala sitawauliza wazazi wangu but picha hii nitakaa nayo kwa muda mrefu sana, simuoni tena dada yangu kama nilivyo kuwa naumona before..
NAOMBA KUWAULIZA , HIVI HILI NI SUALA LA KAWAIDA KWELI KWA MWANAMKE KUWA NA JINSI MBILI NA ZOTE ZIKAWA ZINAFANYA KAZI ! AU NI KWA DADA YANGU TU? NAHISI LIKE ITS A KIND OF BADLUCK TO OUR FAMILY..PLEASE NIPENI USHAURI WENU