Baba Erick
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 483
- 75
Mwambie atafute jinsi nyingine asionekane maana ukimwambia shem utasababisha matatizo sana. Kaa ukijua hujamuona tu naye shemeji yako akitoka gesti kwa sababu anajificha sana au maeneo yake yako mbali na wewe, naye anafanya.
Mwache sista ahondomole tamtam na switi bebi wake masogange.
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye kuniona. Kinachoniumiza nashindwa kujua nimwambie shemeji wangu au nimwonye ccta kwani ni hatari sana. Jamani naomba ushauri wenu wa dhati,THANKS
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu[/QU Mwambie anachokifanya hujakipenda.
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye kuniona. Kinachoniumiza nashindwa kujua nimwambie shemeji wangu au nimwonye ccta kwani ni hatari sana. Jamani naomba ushauri wenu wa dhati,THANKS
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu
Mwambie shem. Ila aisee mbona kuna mambo mengi ya kujadili yenye maclai kw weng instead f ur family related things! Ah kuna mgomo ud, lema ndani, umeme mgao,rombo bendera ya kenya, etc ila ucmind uwe ma best!
Mwambie shem. Ila aisee mbona kuna mambo mengi ya kujadili yenye maclai kw weng instead f ur family related things! Ah kuna mgomo ud, lema ndani, umeme mgao,rombo bendera ya kenya, etc ila ucmind uwe ma best!
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye kuniona. Kinachoniumiza nashindwa kujua nimwambie shemeji wangu au nimwonye ccta kwani ni hatari sana. Jamani naomba ushauri wenu wa dhati,THANKS
Unapotaka kulisanua kwa shem wako au kumpiga ribiti sista wako, Je unajua sista anachokikosa kwa shem wako kinachomfanya aende nje kukitafuta? Kama je mapigo ya shem wako kwenye 6x6 ni hafifu utamsaidiaje? Pilipili usizozila zakuwashani??