Dada yangu anamcheat shemeji

Baba Erick

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
483
Reaction score
75
Hello wana jf. Ni tumaini langu mpo good! Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua dada yangu ana mahusiano ya kimapenzi na njemba nyingine pale nilipomfumania akitoka gesti naye bila yeye kuniona. Kinachoniumiza nashindwa kujua nimwambie shemeji wangu au nimwonye ccta kwani ni hatari sana. Jamani naomba ushauri wenu wa dhati,THANKS
 
Mwambie atafute jinsi nyingine asionekane maana ukimwambia shem utasababisha matatizo sana. Kaa ukijua hujamuona tu naye shemeji yako akitoka gesti kwa sababu anajificha sana au maeneo yake yako mbali na wewe, naye anafanya.
 
Mwache sista ahondomole tamtam na switi bebi wake masogange.
 
Mwambie atafute jinsi nyingine asionekane maana ukimwambia shem utasababisha matatizo sana. Kaa ukijua hujamuona tu naye shemeji yako akitoka gesti kwa sababu anajificha sana au maeneo yake yako mbali na wewe, naye anafanya.

Mwache sista ahondomole tamtam na switi bebi wake masogange.

Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu
 
Reactions: BAK
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu

Kaka ukweli mchungu hamna asiyefanya siku hizi swala hapo ni kujificha sana. Utaukataa huu ukweli lakini ndivyo ilivyo watu wanakula hata wake za marais ije kuwa sisi wa mitaani???? mke wa rais ana watu wangapi wa kumlinda??? na mkeo anao wangapi wa kumlinda?? Hii lazima tuikubari tu no way out.
 

Baba Erick na utu uzima wako wote unashindwa ku handle kitu rahisi kama hiki hadi unakuja kuomba ushauri jukwaani? Heshima yako inashuka mzee
 

mwambie uone kama wewe na dada yako hamjarudishwa kiembe mbuzi..
 
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu

Sasa sista si kaamua mwenyewe lakini....andazi mali yake na analigawa anakopenda yeye. Sasa kwa nini wengine wampangie kugawa mali zake?
 
Mwambie shem. Ila aisee mbona kuna mambo mengi ya kujadili yenye maclai kw weng instead f ur family related things! Ah kuna mgomo ud, lema ndani, umeme mgao,rombo bendera ya kenya, etc ila ucmind uwe ma best!
 
Mwambie shem. Ila aisee mbona kuna mambo mengi ya kujadili yenye maclai kw weng instead f ur family related things! Ah kuna mgomo ud, lema ndani, umeme mgao,rombo bendera ya kenya, etc ila ucmind uwe ma best!

Heshimu maombi ya mwenzio, labda yoote uliyoyasema keshayajadili na anaendelea kujadili utajuaje? hili nalo linamtatiza kichwa lakini sasa tumemshusha presha.
 
Mwambie shem. Ila aisee mbona kuna mambo mengi ya kujadili yenye maclai kw weng instead f ur family related things! Ah kuna mgomo ud, lema ndani, umeme mgao,rombo bendera ya kenya, etc ila ucmind uwe ma best!

hayo yote yana majukwaa yake si uende jukwaa husika ukayajadili mkuu?
 
Kakaaa usije ukamuonea dada yako muache aendelee ila kama utamuonea huruma mwambie awe anajificha sana asiende gesti za karibu na ikiwezekana apange chumba mijini watakachokuwa wanalipia kila mwezi.
 
ukisikia "fulani " kavunja ndoa ya dada yake nivyo inavyokuwa..

wewe zungumza na dada yako, mwambie umemwona na anachokifanya sio kizuri, maradhi mengi achukue tahadhari na ikibidi aache...
hapo jukumu lako ndipo linapoishia, dada yako ni mtu mzima anajua zuri na baya, na undani kwenye ndoa zawatu huwezi kuujua.
 
Kwa kuwa si dada yenu?........................hebu kuweni wakweli wa nafsi zenu

Muite dadako faragha umwambie kwamba kama haachi hiyo tabia utamwambia shemejio. Huyo ni dadako mpendwa, inawezekana hilo tatizo lipo mezani kama ukipeleka hiyo inawezekana ikamfanya arudi nyumbani wewe utafaidika nini? Ebu muite ccta wako fasta ikishindikana mwambie baba/mama mzazi wamuite wampe maadili.
 
Unapotaka kulisanua kwa shem wako au kumpiga ribiti sista wako, Je unajua sista anachokikosa kwa shem wako kinachomfanya aende nje kukitafuta? Kama je mapigo ya shem wako kwenye 6x6 ni hafifu utamsaidiaje? Pilipili usizozila zakuwashani??
 
Baba Eric pole kwa hili tatizo. hebu kwanza shemeji muweke kando, kaa na dada mwulize kwa nini anafanya ayafanyayo ilhali yeye ni mke wa mtu. Msikilize vizuri, kama ni tamaa mwonye na mtishie kusema kwa shemeji, kama dozi aipatayo kwa mumewe ni hafifu, sema naye (ukishindwa ilete hapa apewe mbinu za klurekebisha mambo kisha mpe link kama si kumprintia) kama ni tatizo lolote kati yake na mumewe mwambie a-open up, communicate, communicate and communicate again.

 
Unapotaka kulisanua kwa shem wako au kumpiga ribiti sista wako, Je unajua sista anachokikosa kwa shem wako kinachomfanya aende nje kukitafuta? Kama je mapigo ya shem wako kwenye 6x6 ni hafifu utamsaidiaje? Pilipili usizozila zakuwashani??

Jsaud, anawezakumsaidia kwa kumweleza kuwa tatizo halitatuliwi kwa kuongeza tatizo. Amshauri azungumze na mumewe bana. kutotoshelezwa ndani ya uwanja si tiketi ya kumfanya akajichezeshe kidali poo huko kwenye maguest. Yeye ni mke wa mtu bana ametunukiwa ndoa na mume wa kikidhi haja zake, ni mume wake asiogope kusema bana.
 
muonye dada yako-mwambie ulimwona-so niexttime yaweza kuwa zamu ya bwana wake kumuona
swala la kumuambia shem achana nalo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…