Dada yangu anamcheat shemeji

Acha kuhalalisha uovu unaotujazia watoto wa mitaani,naomba msimsikilize huyu jamaa,cha kufanya muonye kwanza dada yako, akiendelea mwache siku hizi za mwizi ni ishirini na si arobaini tena
 
Mwambie atafute jinsi nyingine asionekane maana ukimwambia shem utasababisha matatizo sana. Kaa ukijua hujamuona tu naye shemeji yako akitoka gesti kwa sababu anajificha sana au maeneo yake yako mbali na wewe, naye anafanya.

ni kweli kaka ila ccta ndiye ananiweka mjini
 
Mwambie atafute jinsi nyingine asionekane maana ukimwambia shem utasababisha matatizo sana. Kaa ukijua hujamuona tu naye shemeji yako akitoka gesti kwa sababu anajificha sana au maeneo yake yako mbali na wewe, naye anafanya.

Inawezekana kabisa shemeji yake ndio gwiji la kucheat.
 
Mwite dadako mwambie 1-2-3!tena ikiwezekana mwite shangazi yenu kama yupo mmuweke kiti moto ,na mwulizeni kwanini anafanya hivi yawezekana shemeji ndo chanzo au shemeji miundo mbinu imechakaa hivyo kamruhusu akajinafasi nje!! Ila nachokijua hataacha ila ataongeza umakini jinsi yakujificha!i
 
kwani unakula kupitia kiuno chadada ako?we mchane tu shemegy
 
Mwambi sis sio fresh mambo hizo so aache mara moja coz akishapata ngoma ni wewe ndio utaanza hangaika na watoto wake
 
Babaenock,
mambo ya ndoa ni magumu sana
ukisema kwa shem wako ujue ndo mwisho wa ndoa yao - yaani wewe ndo chanzo cha kuvunja hiyo ndoa,
kama vipi sema na dada,
ukiona huwezi wewe endelea na maisha yako, yakwao waachie wenyewe.
 
tafadhali kaa na dada umweleze ukweli na kumshauri na atakuelewa vizuri sana wala usitie shaka
Mi niliwahi kukumbukwa na jambo kama hilo ila niliambiwa na dada yangu mkubwa kuwa dada yako anatembea nje ya ndoa na jamaa mmoja maarufu sana hapa mjini na inahatarisha ndoa yake halafu mi na shem wangu ni watu wa karibu sana sana na tumekuwa tunashirikiana na kwa mambo mengi.nilimpigia simu dada na kmtaarifu kuwa ninakuja huko(mkoa) kuonana nawe kisha nitarudi dar,nilienda safari ndefu sana na nikakaa naye nikamueleza na alikiri na alilia sana na kuniomba msamaha kwa kuidhalilisha familia na kutamka kuwa hatarudia kamwe ktk maisha yake na sasa yupo na mmewe na hilo sakata tukalimaza wenyewe.
wewe nenda kwa dada umwambie ukweli kama unataka dada aendelee ktk ndoa yake
 
kama utamwambia shemeji yako,utawekwa kwenye kitabu cha Ginesi 1000 ovu rekodi,maana hiyo haijawahi tokea. Nalog off
 
Mwambie sisteri kwamba ulimuona na anachofanya c kizurri
 

jamani wote!
 
Baba Erick na utu uzima wako wote unashindwa ku handle kitu rahisi kama hiki hadi unakuja kuomba ushauri jukwaani? Heshima yako inashuka mzee

siyo hivyo ndugu yangu mambo mengine yanahitaji hekima zaidi
 
Acha kuhalalisha uovu unaotujazia watoto wa mitaani,naomba msimsikilize huyu jamaa,cha kufanya muonye kwanza dada yako, akiendelea mwache siku hizi za mwizi ni ishirini na si arobaini tena

nashukuru lol!
 

Daaaa!
 
Babaenock,
mambo ya ndoa ni magumu sana
ukisema kwa shem wako ujue ndo mwisho wa ndoa yao - yaani wewe ndo chanzo cha kuvunja hiyo ndoa,
kama vipi sema na dada,
ukiona huwezi wewe endelea na maisha yako, yakwao waachie wenyewe.

nitajaribu kuchonga naye ndugu ila dada yangu amenipita na miaka 9
 

thanks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…