Dada yangu kipenzi nakukumbusha tu!

Dada yangu kipenzi nakukumbusha tu!

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
DADA ANGU KIPENZI NAKUKUMBUSHA TU

Dada angu mwema, naipenda furaha yako nami sisiti kukuhusia katika yale niyafahamuyo mimi ambayo ni mambo mema kwenye maisha yako

1. DADA ANGU mwema, mwanaume yeyote anayekupenda kwa dhati na anayekuwazia mema hawezi kukushawishi akulale kinyume cha maumbile. Hayupo mwanaume sahihi/bora anayekupenda sana na anayeijua thamani yako akakushawishi au akaongea ujinga huu. Hapo HAMNAMO mwanaume jiongeze hiyo ni mbuzi

2. DADA ANGU mwema hakuna mwanaume anayekupenda sana akakuambia nizalie mtoto kwanza ndipo nikuoe basi ukifanya hivyo🙌🏿😢 jiandae kuwa single mother uliyepumbazika na penzi la majaribio yaaani wewe ni MGALATIA

3. DADA ANGU mwema usipunbazike na penzi la mume wa mtu kisa anakulipia kodi unapokaa Huku ukipambania eti aachane na mke wake akuoe wewe dada fumba macho tukuombee tu

4. DADA ANGU mwema, usiolewe na mtu kisa umezaa naye, amekusaidia, changamoto yako, upweke na usibaki kwenye mahusiano yale yaliyokufa kisa umezaa naye, dada angu, mtoto haleti upendo utabakuwa kama dada wa kazi tu

5. DADA ANGU mwema, usikubali kutumiwa kimapenzi na mwajiri wako (boss wako) ukajiona umeyawin maisha. Umeshapotea na utapoteza kujiamini na utakuwa adui wa wafanya kazi wenzako kwasababu utawaumiza

6. DADA ANGU mwema usiendelee kuzaa na mwanaume ambaye umeona kabisa haeleweki, anakwepa majukumu maana utakuwa na majukumu makubwa ya kulea pekee ako na ukiachika utapata shida kupata mwanaume atajayekuoa ukiwa na watoto wengi dada angu

Yawezekana umemuona haeleweki achana naye kama uko naye kwenye ndoa achana au punguza kuzaa linda thamani yako usije kujuta.
 
Na3.
Unajichosha tu. Wanawataka hao kwa sababu ndio wanaowapa hela.

Na4.
Bora kuongeza single mama sio✅
 
DADA ANGU KIPENZI NAKUKUMBUSHA TU

Dada angu mwema, naipenda furaha yako nami sisiti kukuhusia katika yale niyafahamuyo mimi ambayo ni mambo mema kwenye maisha yako

1. DADA ANGU mwema, mwanaume yeyote anayekupenda kwa dhati na anayekuwazia mema hawezi kukushawishi akulale kinyume cha maumbile. Hayupo mwanaume sahihi/bora anayekupenda sana na anayeijua thamani yako akakushawishi au akaongea ujinga huu. Hapo HAMNAMO mwanaume jiongeze hiyo ni mbuzi

2. DADA ANGU mwema hakuna mwanaume anayekupenda sana akakuambia nizalie mtoto kwanza ndipo nikuoe basi ukifanya hivyo🙌🏿😢 jiandae kuwa single mother uliyepumbazika na penzi la majaribio yaaani wewe ni MGALATIA

3. DADA ANGU mwema usipunbazike na penzi la mume wa mtu kisa anakulipia kodi unapokaa Huku ukipambania eti aachane na mke wake akuoe wewe dada fumba macho tukuombee tu

4. DADA ANGU mwema, usiolewe na mtu kisa umezaa naye, amekusaidia, changamoto yako, upweke na usibaki kwenye mahusiano yale yaliyokufa kisa umezaa naye, dada angu, mtoto haleti upendo utabakuwa kama dada wa kazi tu

5. DADA ANGU mwema, usikubali kutumiwa kimapenzi na mwajiri wako (boss wako) ukajiona umeyawin maisha. Umeshapotea na utapoteza kujiamini na utakuwa adui wa wafanya kazi wenzako kwasababu utawaumiza

6. DADA ANGU mwema usiendelee kuzaa na mwanaume ambaye umeona kabisa haeleweki, anakwepa majukumu maana utakuwa na majukumu makubwa ya kulea pekee ako na ukiachika utapata shida kupata mwanaume atajayekuoa ukiwa na watoto wengi dada angu

Yawezekana umemuona haeleweki achana naye kama uko naye kwenye ndoa achana au punguza kuzaa linda thamani yako usije kujuta.
Kwani dada mwenyewe anasemaje?
 
Kilanga, mi najuaga wewe upo zako kwenye nchi za watu huko, hu mwandiko wa Kibongo kabisa hu. Joke
Kwanza kabisa usinipangie cha kuandika na jinsi ya kuandika.

Watanzania wengi ni watu wanaopenda kushauri mambo wasiyoyajua, kwa watu wasiowafahamu, bila ya kuombwa huo ushauri.

Ndiyo maana nikasema kwani dada mwenyewe anasemaje?
 
DADA ANGU KIPENZI NAKUKUMBUSHA TU

Dada angu mwema, naipenda furaha yako nami sisiti kukuhusia katika yale niyafahamuyo mimi ambayo ni mambo mema kwenye maisha yako

1. DADA ANGU mwema, mwanaume yeyote anayekupenda kwa dhati na anayekuwazia mema hawezi kukushawishi akulale kinyume cha maumbile. Hayupo mwanaume sahihi/bora anayekupenda sana na anayeijua thamani yako akakushawishi au akaongea ujinga huu. Hapo HAMNAMO mwanaume jiongeze hiyo ni mbuzi

2. DADA ANGU mwema hakuna mwanaume anayekupenda sana akakuambia nizalie mtoto kwanza ndipo nikuoe basi ukifanya hivyo🙌🏿😢 jiandae kuwa single mother uliyepumbazika na penzi la majaribio yaaani wewe ni MGALATIA

3. DADA ANGU mwema usipunbazike na penzi la mume wa mtu kisa anakulipia kodi unapokaa Huku ukipambania eti aachane na mke wake akuoe wewe dada fumba macho tukuombee tu

4. DADA ANGU mwema, usiolewe na mtu kisa umezaa naye, amekusaidia, changamoto yako, upweke na usibaki kwenye mahusiano yale yaliyokufa kisa umezaa naye, dada angu, mtoto haleti upendo utabakuwa kama dada wa kazi tu

5. DADA ANGU mwema, usikubali kutumiwa kimapenzi na mwajiri wako (boss wako) ukajiona umeyawin maisha. Umeshapotea na utapoteza kujiamini na utakuwa adui wa wafanya kazi wenzako kwasababu utawaumiza

6. DADA ANGU mwema usiendelee kuzaa na mwanaume ambaye umeona kabisa haeleweki, anakwepa majukumu maana utakuwa na majukumu makubwa ya kulea pekee ako na ukiachika utapata shida kupata mwanaume atajayekuoa ukiwa na watoto wengi dada angu

Yawezekana umemuona haeleweki achana naye kama uko naye kwenye ndoa achana au punguza kuzaa linda thamani yako usije kujuta.
Dada yangu mwema ....
Mkuu, twaruhusiwa kuongezea??
 
DADA ANGU KIPENZI NAKUKUMBUSHA TU

Dada angu mwema, naipenda furaha yako nami sisiti kukuhusia katika yale niyafahamuyo mimi ambayo ni mambo mema kwenye maisha yako

1. DADA ANGU mwema, mwanaume yeyote anayekupenda kwa dhati na anayekuwazia mema hawezi kukushawishi akulale kinyume cha maumbile. Hayupo mwanaume sahihi/bora anayekupenda sana na anayeijua thamani yako akakushawishi au akaongea ujinga huu. Hapo HAMNAMO mwanaume jiongeze hiyo ni mbuzi

2. DADA ANGU mwema hakuna mwanaume anayekupenda sana akakuambia nizalie mtoto kwanza ndipo nikuoe basi ukifanya hivyo🙌🏿😢 jiandae kuwa single mother uliyepumbazika na penzi la majaribio yaaani wewe ni MGALATIA

3. DADA ANGU mwema usipunbazike na penzi la mume wa mtu kisa anakulipia kodi unapokaa Huku ukipambania eti aachane na mke wake akuoe wewe dada fumba macho tukuombee tu

4. DADA ANGU mwema, usiolewe na mtu kisa umezaa naye, amekusaidia, changamoto yako, upweke na usibaki kwenye mahusiano yale yaliyokufa kisa umezaa naye, dada angu, mtoto haleti upendo utabakuwa kama dada wa kazi tu

5. DADA ANGU mwema, usikubali kutumiwa kimapenzi na mwajiri wako (boss wako) ukajiona umeyawin maisha. Umeshapotea na utapoteza kujiamini na utakuwa adui wa wafanya kazi wenzako kwasababu utawaumiza

6. DADA ANGU mwema usiendelee kuzaa na mwanaume ambaye umeona kabisa haeleweki, anakwepa majukumu maana utakuwa na majukumu makubwa ya kulea pekee ako na ukiachika utapata shida kupata mwanaume atajayekuoa ukiwa na watoto wengi dada angu

Yawezekana umemuona haeleweki achana naye kama uko naye kwenye ndoa achana au punguza kuzaa linda thamani yako usije kujuta.
Unatwanga maji kwenye kinu.
 
Kwanza kabisa usinipangie cha kuandika na jinsi ya kuandika.

Watanzania wengi ni watu wanaopenda kushauri mambo wasiyoyajua, kwa watu wasiowafahamu, bila ya kuombwa huo ushauri.

Ndiyo maana nikasema kwani dada mwenyewe anasemaje?
Mbona kama umepaniki bro? Hakuna nilipo kupangia wala kukushauri, nimekutania tu kidogo kupitisha masaa, nimeona kama huo mwandiko ni wetu sisi wa huku kwa Aziz Ali. Hamna ushauri wala mipango hapo. Don't take so serious bro, utani wa hapa na pale tu
 
Mbona kama umepaniki bro? Hakuna nilipo kupangia wala kukushauri, nimekutania tu kidogo kupitisha masaa, nimeona kama huo mwandiko ni wetu sisi wa huku kwa Aziz Ali. Hamna ushauri wala mipango hapo. Don't take so serious bro, utani wa hapa na pale tu
Watanzania wengi ukiwaambia ukwwli wanajibaraguza kwa kusema "hapo nilikuwa natania tu".

Kwa Aziz Ali hata mimi kwetu pia.

Kote huko kwa Aziz Ali, Mbwamaji, Tuangoma, Kisarawe, Kinyasini,Kinyerezi, kote nina viunga huko.

Usinipunje kwetu.
 
Watanzania wengi ukiwaambia ukwwli wanajibaraguza kwa kusema "hapo nilikuwa natania tu".

Kwa Aziz Ali hata mimi kwetu pia.

Kote huko kwa Aziz Ali, Mbwamaji, Tuangoma, Kisarawe, Kinyasini,Kinyerezi, kote nina viunga huko.

Usinipunje kwetu.
😅😅😅🤣🤣 and that's what I meant bro kwamba hu mwandiko ni wa huku kwetu Uswahili.
 
😅😅😅🤣🤣 and that's what I meant bro kwamba hu mwandiko ni wa huku kwetu Uswahili.
Unawabagaza sana Waswahili.

Ngoja nikubadilishie idhaa.

This is an ad hominem fallacy, you are not arguing the points, instead you are resorting to character assassination.
 
Back
Top Bottom