Dada yangu madam Flora sasa ndio naelewa Ema ulimvumilia kwa mengi sana

Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake, usiongee usichokijua.

Jamaa ana msongo wa mawazo yule, hauhitaji ujuzi mkubwa kumjua. Yaliyomkuta yashamwathiri, hebu acheni kuhukumu kama Miungu vile.

Kavae viatu vyake, ndiyo utajua uzito wa matatizo yake
Wadau wanasema kwa jinsi alivyo sasa Emma ,akikupa kichwa chake unaweza ukavua nguo na kutembea uchi wa mnyama.
 
We utakuwa na hekima sana na jicho la pekee
 
Bado anaweweseka... Na ataweweseka maisha yake yote
Kuna visa alikua anamfanyia flora.. Nae flora kwa kumkomesha akambambikia kesi akafie huko

Ndo likawageuka
Mwanaume hueleweki.. Miaka zaidi ya kumi unalelewa na mke.. Unavishwa, unalipiwa kodi ya pa kuishi.. Mtoto ada analipa mke.. Matamasha ya flora ndo yanakuweka mjini
Unakula tu na kunya miaka na miaka
Wala hujiongezi
Ghafla unaleta kelele mara umtishe mara umpige.. Kwanini asiende kwa gwajima kuliwazwa
Kalea kinyago kwa mapenzi yote leo ghafla kinmgeuka kumtisha na kumfanya asiishi kwa amani. Na kinatumia ndoa kama excuse
Kwamba huwez kwenda kokote

Kwanini asikifyekee mbali
 
Wanaume tunavumilia yoote
haha..yani wa wanaume tunavumilia mpaka moyo unakufa ganzi alafu unasahau kama ni uvumilivu unajionea kawaida tuu....upande wa pili sasa....anavumilia mawili anayaweka moyoni na anakusema nayo mpaka akili iakukaa sawa
 
Ukiacha yote,jamaa huyo jamaa ni mshamba sana halafu ana mambo ya kitoto
 
Duuh!
This is not where I parked my car maana nimeambulia patupu. Sijaelewa hata moja zaidi ya lugha inayotumika.
 
Labda umechukua nafasi ya Frola imekufanya uandike hiki
 
Rafiki yake masanja mkandamizaji, na wako humi jf
 
Duh! Kweli kitanda usichokilalia huwajui kunguni wake, yule jamaa afanyiwe msaada haraka sana. Wataalamu wa ushauri ndiyo wanaweza kumwokoa
Nimeona juzi juzi katoa waraka wa kuwafunda wanandoa wanaotaka kuachana,watumishi wa mungu wenzake.
 
Hivi mtoto wa Flora ni wa Gwajima kweli kama wananzengo wanavyosema?..
 
Hivi siku hizi anajishughulisha na nini? Maana naona kadata
 
tatizo la jamaa ni ushamba wala sio kingine..kwake wali samaki ni big deal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…