Dada yeyote aliye dar!!!!

Dada yeyote aliye dar!!!!

Super Sub Steve

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2011
Posts
17,404
Reaction score
10,900
Mimi ni mwanaume nina miaka 30 napenda kuwa na rafiki yeyote aliye DAR ES SALAAM,dini yeyote,rangi yeyote,umri wowote,ila awe mwenye busara staki matusi pia awe ana uelewa na maisha asiye na majigambo!
 
Safi sana kijana ila angalia mabinti wa mujini weiweeee utaumia mwenyewe....
 
Ili iweje tena kumpotezea mtu muda tu fanya mambo yako sio lazima sana,WENYE HIV O VIGEZO VYAKO WANAPATIKANA SIGIMBI ,DSM ONGEA HABARI YA MUJINI TU UTAELEWEKA !!
 
Ili iweje tena kumpotezea mtu muda tu fanya mambo yako sio lazima sana,WENYE HIV O VIGEZO VYAKO WANAPATIKANA SIGIMBI ,DSM ONGEA HABARI YA MUJINI TU UTAELEWEKA !!
Una uhuru wa kutoa mawazo yako na awazo yako yanaheshimiwa
 
Back
Top Bottom