Dada zangu tukilewa mtuwache mnatuharibia bajeti

Dada zangu tukilewa mtuwache mnatuharibia bajeti

welding1682

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2019
Posts
2,151
Reaction score
4,681
dada zangu nawaeshimu sana mnaofanya kazi za bar na piss kali haswa,
ila hii tabia ya kuniona nimeanza kupendeza na kuja kuniomba bia mnaniaribia bajeti na bora hatauagize bia ndiyo kwanza mnaagiza lii savana alfu tano mnaniaribia bajeti mbona kabla sijalewa mnanichora tu mpaka nilewe

muache kuwaharibia wateja bajeti zao, nikiwa freshi nitakuita ila si kuja kunishawishi huku nimelewa na sijuh kwanini akili inapotea kwa muda saa kumi usiku inajirudi na maumivu juu.
 
dada zangu nawaeshimu sana mnaofanya kazi za bar na piss kali haswa,
ila hii tabia ya kuniona nimeanza kupendeza na kuja kuniomba bia mnaniaribia bajeti na bora hatauagize bia ndiyo kwanza mnaagiza lii savana alfu tano mnaniaribia bajeti mbona kabla sijalewa mnanichora tu mpaka nilewe

muache kuwaharibia wateja bajeti zao, nikiwa freshi nitakuita ila si kuja kunishawishi huku nimelewa na sijuh kwanini akili inapotea kwa muda saa kumi usiku inajirudi na maumivu juu.
Kuanzi chupa ya nne ya beer ndio unaanza kuona mashangashanga.

na wakati mwingine wanazidisha hadi hesabu kama ni mteja wa kulipa bili badae lazima upigwe maana ukilewa unaangalia ni pesa sh ngapi kisha unalipa.Huna haja ya kuanza kuangalia matumizi uliyotumia.

Pombe sio sigara.
 
Back
Top Bottom