nina mabinti watatu, wa mwisho ni twins wapo 4 years! ni warembo kwelikweli! ukisema hivyo mkuu unanipa sana msongo wa mawazo! natamani wote niwaone wanakuwa watu baadaye! bila kupatwa na luluvirus wala kusababishia watu mtikisiko wa ubongo! LORD HAVE MERCY, AND ALWAYS PROTECT MY DAUGHTERS! AMEN!
mkuu mada yako ni nzuri kwa ukweli kuwa inaongelea tabia chafu za baadhi ya wanawake ambazo hata mim zinanichefua.Ila inasikitisha na kukasirisha unaposema wanawake woote tuko hivyo,sidhani kama mama yako na dada zako wako hivyo,kama hawako hivyo amini kuwa wapo wanawake wengi tu wasio na hizo tabia chafu.
dada usininukuu vibaya. Sio wote ila hao ambao hawapo hivo ni wachache sana ni nadra kuwapata.
Acha kukurupuka na tabia yenu ya kujifanya mnaponda fb
na hali karibu wote mna account huko. Hili linamhusu dada yeyote wa kujirahisi!
kamanda mie nimepona hicho kisu, mitoto yangu yote dume.
Ni kuwajengea mazingira ya uwazi wa kuongea lolote na wazazi
mara moja moja unakaa na kuwapa real life experiences kwa simulizi.
1.Mshahara duni.
2.Kodi kubwa!
3.Mfumko wa Bei mkali ni PIGO kwa msichana yeyote!
Rose baby wewe haupo hivo, wewe ni wale 7 kati ya 50 waliotulia.
Kuna unafiki mkubwa kwenye hii thread. wadada wanapondwa kwa kuwa 'rahisi mno' kuwapata hadi uweze kubadilisha kila siku, lakini wanaume wanaofanya hivo hawasemwi au kupondwa. . Kama kaka unapenda wasichana rahisi, utaenda sehemu wanakopatikana na watakukubalia. kuna wadada ambao si rahisi, wako available kwa wakaka ambao sio players.
Kumbuka unapomyooshea mtu kidole vitatu vinakurudia, u get what u seek na birds of a feather fly together[/QU
sasa na wale akina dada wanaofanya kazi kwenye makampuni makubwa wanalipwa zaidi ya shs million 10 kwa mwezi na bado wanakitembeza huko nje na waarabu au vigogo wa hii nchi..hao nao utawatetea vipi...
Kuna unafiki mkubwa kwenye hii thread. wadada wanapondwa kwa kuwa 'rahisi mno' kuwapata hadi uweze kubadilisha kila siku, lakini wanaume wanaofanya hivo hawasemwi au kupondwa. . Kama kaka unapenda wasichana rahisi, utaenda sehemu wanakopatikana na watakukubalia. kuna wadada ambao si rahisi, wako available kwa wakaka ambao sio players.
Kumbuka unapomyooshea mtu kidole vitatu vinakurudia, u get what u seek na birds of a feather fly together
umenena vyema
bt still wbu weka neno baadhi..cz si kweli wote wapo ivo swt at....au dhamira yako ni KUTUSI WANAWAKE WOTE?if so poa go ahead bt mungu apend kuhukumu ivyo mwenye kosa na asiye na kosa.
mi thitak.
kamanda mie nimepona hicho kisu, mitoto yangu yote dume.
Ni kuwajengea mazingira ya uwazi wa kuongea lolote na wazazi
mara moja moja unakaa na kuwapa real life experiences kwa simulizi.
pokea tripple like asee.
Anafikiri kulala na wanawake wengi ni sifa.
Sioni utofauti kati yako wewe unayelala na wanawake wengi na mwanamke anayelala na wanaume wengi.
Hata wewe unaewaramba on first date una elements kama za hao unaowasema. Inabidi na wewe tukuseme
Hata wewe unaewaramba on first date una elements kama za hao unaowasema. Inabidi na wewe tukuseme
sawa ila mkuu ameangalia asilimia kubwa wengi wao ni vimeokm ukia plly iyo methali so to say WANAUME WOTE MASHOGA?
CZ KUNA SHOGA MMOJA MTAANI KWETU SO NIWAONE WANAUME WOTE MABWABWA?
plsss doooooooooont use t..:wave: