Dada zetu acheni kuvaa nguo nyepesi bila chupi

Na wewe umezidi kuwachunguza inaonekana hata concentration yako ktk kazi sio nzuri ungekuwa focused ktk kazi usingekuwa mchunguzi ktk vitu private kama hivyo
 
Hahaaa kituo kinachofuata ni machinga complex
 
Shida iko wapi, si uangalie pembeni? Walahi mi mpaka nigeuze shingo kusindikiza hisia
 
Mkuu kuna siku nimavaa kiboksa changu cha cotton nilipata tabu Sana pale quality center yaani muda wote nasimamisha tu bora huku kwetu uswhahilini
 
Hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili lishanitokea zaidi ya mara tatu lakini sikuwa ndotoni mkuu
 
Hivi utaona mwanamke ambaye anavaa hivyo?
Hawa ni kuosha rungu kisha unatupa ka toilet paper! Hamna namna, mpaka akili ziwakae vizuri! Na hao wajawazito amaosema mleta mada wanaipata sababu ya mavazi hayo, wanagongwa kisha wanaachwa alafu baadae wanaanza kulalamika hamna waoaji.
 
Hapa ningefika kibo na mawenzi
 
yani mi nikiingia kazini cha kwanza ni kumcheki mmaza mmoja ivi mana....
 
Weka hata kapicha basi mkuu na sie tuone kama malalamiko yako yana ukweli au unawasingizia tu dada zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…