Dada Zetu inakuwaje tufanya hivi!!

Akili Unazo!

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2009
Posts
3,930
Reaction score
4,912
Hivi inakuwaje mtoto wa kike anajipiga picha kama hii anaweka kwenye net halafu baadae akiambiwa kuwa anajiuza anang'aka kuwa amevunjiwa heshima!!!Wakati yeye ndiye kaanza kujivunjia Heshimu!! ebu angalieni na mnisaidie ni utandawazi au nini????????
 
Soko huria kaka :bolt::alien: .com
 
uuuwwii jamani
kwanini wewe ulienda kutafuta hii kwenye net..

kama ungemwona barabarani hivyo hapo ningekutetea..

kwenye net hayo ndo mambo siku hizi....

internet=biggest porn market....
 
uuuwwii jamani
kwanini wewe ulienda kutafuta hii kwenye net..

kama ungemwona barabarani hivyo hapo ningekutetea..

kwenye net hayo ndo mambo siku hizi....

internet=biggest porn market....

Akili unazo Utakachokikuta kwa net kaakimya nadhani umemsoma da afro yuko sawa! Dunia haina mwenyewe let us live with it
 
Whatever happens in vegas stays in vegas!
 
ubarikiwe mkuu.....unakafahamu haka?
 
leo naona umekuja na evidence. Huu c ustaarabu kabisa kwa wadada kutumia hizi picha
 
Only if yeye ndo ameiweka kwenye internet.................jamani pengine amepigwa na BF wake na ndie aliyemwanika!! Mi jamani staki
 
Hivi nimapaja yamegusana ndo yakaleta sura ingine hapo kati? Au mi naona auto fokasi. Sielewi elewi hapo kati kumekaaje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…