[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kijana Kupandikiza Figo tanzania tu Madoctor wa Bongo wana assist aisee hakuna kitu wanafanya wenyewe... wale wazungu wasipokuja process haiendiKwani ulikuwepo akitolewa figo ukaona waliotoa hawakuwa professional?..
Eti wanataka big boys 😀😀😀 hela zetu wanadai ni za msimuNa mafala mbona tupo tu uku kitaani na show tunamudu,tatizo dada zetu tamaa sana
Polisi wetu kama wangewekeza kwenye maeneo yote ya uchunguzi kikamilifu wanaweza kuifanya kazi hiyo vizuri kabisa. tatizo wanaishia kupata mafunzo kwa gharama kubwa lakini linapokuja suala la kwenda kufanya kazi yenyewe ni shida.Kuna vifo vingi sana vinatokea na polisi hawachunguzi kabisa. Yani laiti kama wangekuwa wanatoa stastics za mauaji na unsolved crimes, nahisi hata marekani hawaoni ndani.
Uwa nikisoma habari za marekani za mauaji uwa nahisi labda wamezidi, ila huenda kwetu ni zaidi ila yanaisha huko juu kwa juu hakuna kutangazwa wala nini
Inawezekana baada yakulegezwa na madawa ya kulevya hizo process nyingine zote zilifuata akiwa hajitambui (yaani kupimwa, na kutolewa kitaalam) af ndio wakamtupa.Hakuna Mechanism ya Kuhifadhi kiungo cha Binadamu ili Kipandikizwe kwa Binadamu mwingine maana Figo ili iendelee kuwa Active na kufanya kazi lazima ipate Blood suppy muda wote tena yenye Chakula na Oxygen sasa kama Umaitoa ukaiweka hivyo vitu vitatoka wapi??? Ndo maana inabdi Itolewe na Kupandikizwa at Instant... Ndo maana hata mtu akifa na organ zake labda muwahi kabla hajapoa ndo itolewe otherwise inakufa nayo...
Hiyo Preservation ndo mazingira kama hayo yanahitajika na Proffesional people sio tu kuchana na kungofoa Figo.. Na process hiyo Kupata wataalamu wenye uwezo sio wahuni wakuteka watu na kufanya hayaaa..!! So hizi figo hakuna namna zimeenda kupandikizwa
Haya mambo tumekuwa tukiyasikia huko Philippines,Eastern Europe etcdaaah kabisa, na wala hawajifunzi, na ndiyo wanazidi kutetea
Kijana Kupandikiza Figo tanzania tu Madoctor wa Bongo wana assist aisee hakuna kitu wanafanya wenyewe... wale wazungu wasipokuja process haiendi
huwezi kufanya hiyo kazi na madaktari wawili ndugu. hiyo procedure yenyewe inahusisha ubobezi mchanganyiko, sasa utawapata wapi madaktari na wahudumu wengine wasiopungua 20 na wote wakawa wa mchongo!!!nawashangaa sana humu watu wanaona hii kitu ya ajabu au haiwezekani...
Kuwa na theartre nyumbani na madaktari wawili wa mchongo ina gharama ya shilling ngapi..
issue hapa ni demand ya figo duniani kuwa kubwa halafu kuna watu wanazurura zurura usiku bila mpango kwa kigezo cha kudanga...huku watu wanashida ya hela...
Mkuu Unaongea as if kupandikiza Figo ni kama kupanda nyanya.. Mamjuii nini mnaongeaaa..!! Its not simple kama mnavyofikiriiUko outdated sana mkuu…una uhakika gani waliofanya hivyo sio professional?? Then kama nia ilikua ni kupandikiza unafikiri huyo mtu alikurupuka kuteka na kuchukua figo za huyo dadaa obviously alijipanga…..sihisi kama kuna ugumu wa kupandikiza kama kila kitu kilishakua arranged…boss hatuoni hata kwenye movies aisee vitu kama hivyo??? Icho kitu kinawezekana issue ni kujipanga tu japo hatuna uhakika figo za huyo dada zimetumiwa vipi
Watu wanadhani Hii procedure nia simple kama awanavyosemaa...!! Huwezi pata wasomi wakufanya huo Uhuniiii.huwezi kufanya hiyo kazi na madaktari wawili ndugu. hiyo procedure yenyewe inahusisha ubobezi mchanganyiko, sasa utawapata wapi madaktari na wahudumu wengine wasiopungua 20 na wote wakawa wa mchongo!!!
Mzee huu mtandao wanakuwaga na watu professional sMkuu Unaongea as if kupandikiza Figo ni kama kupanda nyanya.. Mamjuii nini mnaongeaaa..!! Its not simple kama mnavyofikirii
Watu professional au wew unasema watu wenye Hela???? Kuna msemo unasemaga hela sio kila kitu ndo hapa sasa... Hapa ni ushirikina tu hakuna cha maanaMzee huu mtandao wanakuwaga na watu professional s
Ova
sio bure, wewe ni psychopath 100%.Dah kumbe unaweza ukawagegeda alafu baadae ukawaua na kichukia figo unapiga bei.
Tafuta makala uisomeWatu professional au wew unasema watu wenye Hela???? Kuna msemo unasemaga hela sio kila kitu ndo hapa sasa... Hapa ni ushirikina tu hakuna cha maana
Watakuja tu kutana na mziki waoNawale wa telegram wanaojiuzah
Hatari sana...nahisi waliofanya hili tukio ni mtandao wa watu ambao ndani yake kuna madaktari. nimewaza tu.