Dada zetu kuweni makini na madanga mnayopata sehemu za starehe

Kiuhalisia hata Dada zetu siku hizi wamekosa ubinadam hela kwao ni Kitu muhimu kuliko ubinadam . Umetongozwa Leo Leo unaanza kuomba hela ya saloon, hela ya Kodi , Leo Leo unaugua . Kwahiyo haya ni matokeo ya kudanga
 
U r very ryt maneno huumba definately mzazi akozingua naye tunamtaguliza six feet under
Mzazi wako alifanya kosa kukuacha hai, alitakiwa akugundue mapema mno kuwa kazaa mpuuzi, na akumalize kimya kimya kimafia. Anyway ana hasara sana, huruma yake inaweza kumponza.
 
Naona unaongea tu masuala ya kutoa uhai kwa kujiamini, wanyakuzi wanakusoma tu, ukiwapa sababu ya kukunyakua max hataweza kukusaidia. Uzuri wa wanyakuzi wana subira sana, taratiibu mpaka unyakuo unakufikia. Endelea.
Wanyakuzi? Ni akina nani hao?[emoji23][emoji23]
 
Labda ulimnunulia ila hayakuwa makubaliano akupe mwili wake, ulifanya kama msaada tu. Usimlaumu, siku nyingine jifunze kuwa muwazi na 'clear and short'
 
Mzazi wako alifanya kosa kukuacha hai, alitakiwa akugundue mapema mno kuwa kazaa mpuuzi, na akumalize kimya kimya kimafia. Anyway ana hasara sana, huruma yake inaweza kumponza.
Uzuri wa maisha ndio hivyo kama kubet vile unamatumaini mtoto atakuwa rais but unapata mtoto shoga 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimeipenda hii, ni kweli walikuwa wachokozi, na walistahili. Walikuwa na kila sababu ya kuadhibiwa.
 
Nasikia hajatolewa Figo mbona mwili ulikuwa mzima kabiaa hauna jerahaa
 
Na wewe badilisha uchaguzii wa wanawake. Mwanamke anakula kuku mzima anaweza akakupiga usipompa ujira wake asubuhi.
Lakini pia sio kila ukimkarimu Mwanamke basi akurudishie ngono, inawezekana hakua tayari ndo maana alikukimbia.
Umekosea, KAMA WALIKUBALIANA NA AKAKIMBIA, ALIKIUKA MAKUBALIANO, HIVYO NI MHAINI NA MSALITI, SITAKI KUTAJA ADHABU KWA KIWANGO HIKI KIKUBWA CHA USALITI, ADHABU IPO WAZI.

Jifunze kufuata MAKUBALIANO, itakusaidia!
 
Waende muhimbili wafatilie wagonjwa walio badilishwa figo ndani ya masaa 72 kutokea siku ya tukio..

Kwenye hao wagonjwa wote wanatakiwa waseme walipotoa hizo figo walizowekewa.
Hii Biashara kuna wageni wanafanya haya madudu na kuzipeleka nje kuuzwa it is Organized Crime syndicate sio raisi kama unavyofikiria
 
Anaonekana bado mshamba huyu jamaa, anyway umempa ushauri mzuri.
 
hatununui kabla ya makubaliano, issue inakuja makubaliano yanapokiukwa inakuwa dharau ya kiwango cha juu....waungwana watakusamehe, wasio waungwana lazima wakulie timing ndio hivyo unakuta huna figo....
"Waungwana watakusamehe..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…