Dada zetu na biashara Arabuni

Dada zetu na biashara Arabuni

Valencia_UPV

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
6,974
Reaction score
8,750
1. Kundi la Dada zetu (diaspora pori) wanapambana huko Arabuni.

2. Nilikua Dubai, Ile kuingia Tinder nakutana na mbongo ila nikajikausha kama sitoki Bongo.

3. Hela ngumu Sana aisee. Wacha wapambane.

NB: wengi Wanakwenda na viza za miezi mitatu ikiisha anakwenda Qatar au Oman kuzuga masaa tu anarudi tena Dubai, UAE.
 
1. Kundi la Dada zetu (diaspora pori) wanapambana huko Arabuni.

2. Nilikua Dubai, Ile kuingia Tinder nakutana na mbongo ila nikajikausha kama sitoki Bongo.

3. Hela ngumu Sana aisee. Wacha wapambane.

NB: wengi Wanakwenda na viza za miezi mitatu ikiisha anakwenda Qatar au Oman kuzuga masaa tu anarudi tena Dubai, UAE.
Lengo lako la hii thread ni nini hasa?
 
Back
Top Bottom