Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Sikutaka kumfanya ajisikie vibaya kwa biashara anayofanya huko. Ila huduma ilikua nzuri sana. Alianza na kutuma salam kwa kutumia kifaa tiba a.k.a Abdala Kichwa wazi.Kwanini ulimkaushia ndugu yako? Nyie mnapenda kuishi Dubai eeh??? Pambaneni
Mnachokitafuta mtakipata....
Kumbe umejibu tayari?Nilitaka niulize.Kwa hiyo ni mfanyabiashara au mtoa huduma za hapa na pale?Mola awajaalie watusue.Sikutaka kumfanya ajisikie vibaya kwa biashara anayafanya huko. Ila huduma ilokua nzuri sana
Katusua tayari. Alinionyesha kajenga Guest Karibu na Msamvu stendi, MoroKumbe umejibu tayari?Nilitaka niulize.Kwa hiyo ni mfanyabiashara au mtoa huduma za hapa na pale?Mola awajaalie watusue.
Habari mteja.....Sikutaka kumfanya ajisikie vibaya kwa biashara anayofanya huko. Ila huduma ilikua nzuri sana. Alianza na kutuma salam kwa kutuma kipaza Abdala Kichwa wazi
Azidi kupewa wepesi.Dubai oyeee!Katusua tayari. Alinionyesha kajenga Guest Karibu na Msamvu stendi, Moro
Lengo lako la hii thread ni nini hasa?1. Kundi la Dada zetu (diaspora pori) wanapambana huko Arabuni.
2. Nilikua Dubai, Ile kuingia Tinder nakutana na mbongo ila nikajikausha kama sitoki Bongo.
3. Hela ngumu Sana aisee. Wacha wapambane.
NB: wengi Wanakwenda na viza za miezi mitatu ikiisha anakwenda Qatar au Oman kuzuga masaa tu anarudi tena Dubai, UAE.
๐คฃ๐คฃSikutaka kumfanya ajisikie vibaya kwa biashara anayofanya huko. Ila huduma ilikua nzuri sana. Alianza na kutuma salam kwa kutumia kifaa tiba a.k.a Abdala Kichwa wazi.
Mteja tena mbona kirahisi hivyo while ile jezi ya Yanga kwangu umeipotezea ๐Habari mteja.....
Nipo Dubai nikirudi naiijia ๐นMteja tena mbona kirahisi hivyo while ile jezi ya Yanga kwangu umeipotezea ๐
Hapoo sasa,Mbona wengine wana biashara hapa town na tinder au badoo wapo tu
Mpaka urudi si itakua ya msimu uliopita jamani!๐ชNipo Dubai nikirudi naiijia ๐น
Kumekuchaaaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sikutaka kumfanya ajisikie vibaya kwa biashara anayofanya huko. Ila huduma ilikua nzuri sana. Alianza na kutuma salam kwa kutumia kifaa tiba a.k.a Abdala Kichwa wazi.
๐น๐น๐น Mtu na mteja wakeHabari mteja.....
Mjue yuko dubai na kafanya biashara za kimataifa na mtanzania mwenzieโฆ ๐๐Lengo lako la hii thread ni nini hasa?