Wanaume wa kiafrika wanavyodharau wanawake utadhani hawakubebwa miezi tisa na mwanamke.
Lakini hii yote ni inferiority complex,mtu hataki kukubali nafsini mwake kama mwanamke ana maendeleo katika jambo analolifanya kumzidi yeye, hivyo anaona bora
ajifariji oo sijui anauza nini,
wanaume wenye kujiamini na wenye amani na maisha yao huwa wako very supportive.
Jifunze kujiamini .
Si Dubai tu, Pia China na Hong Kong - wanafanikiwa MBAYA!!! nataka mke wangu pia nimpe mtaji tutoke.
Pasco hebu njoo tuendelee na mjadala kwani sasa utanielewa kwa nini niliuliza swali hili takribani mwaka mmoja na nusu uliopita.Jackbaurer, biashara ya Dada zetu kule, ni ile ile the "oldest profession", kule inalipa sana haswa kwa ngozi nyeusi.
Kufuatia kulipa sana kwa biashara hiyo, dada zetu hawa hupata mitaji hivyo kujinunulia magari mazuri na bidhaa zinazoshehenezwa kwenye maboutique yaliyotapakaa Sinza na Kinondoni.
Watanzania wengi ni wajasiliamali wazuri tuu, tatizo lao ni mitaji. Wenye bahati zao,hujipatia mitaji kiulani kama "mana", lakini waliowengi lazima wahangaike kwa kujituma na huitumia ile rasilimali yao kuu waliyojaliwa kujipatia mitaji.
Mkuu Jack, kwa haya matukio ya hivi karibuni, sasa ndio nimeanza kuelewa!. Niliposikia muigizaji fulani wa bongo muvies kanunua nyumba ya milioni 400, magari mawili kila moja milioni 200 na vifaa vya studio, mac piece 6 na Sony edit station nayo jumla milioni 200, total ni bilioni 1!, mwanzo sikuamini!.Pasco hebu njoo tuendelee na mjadala kwani sasa utanielewa kwa nini niliuliza swali hili takribani mwaka mmoja na nusu uliopita.
wakuu hivi dada zetu wanatumia mbinu gani kufanikiwa katika biashara zao wanazofanya huko Dubai?
Wanaume wa kiafrika wanavyodharau wanawake utadhani hawakubebwa miezi tisa na mwanamke.
Lakini hii yote ni inferiority complex,mtu hataki kukubali nafsini mwake kama mwanamke ana maendeleo katika jambo analolifanya kumzidi yeye, hivyo anaona bora
ajifariji oo sijui anauza nini,
wanaume wenye kujiamini na wenye amani na maisha yao huwa wako very supportive.
Jifunze kujiamini .