BelindaJacob Hiyo Six Packs from now where utaionea wap sasa, Naendelea kushikilia Msiamamo wangu na Kaka Asprin atakuja hapa tena Kukazia, Wewe Mdada, ukipewa lift na na mwanaume usiye mjua na ukakubali, Suala la Kuelekezewa Kibra linabaki tu kuwa ni Busara za Dereva/Suka
Lakin Safari Moja huanzisha Nyingine, so lift then next wawezajionea 6 PACKS6 packs utazionaje kwenye gari jamani? mtu amejikalia zake..ndiyo maana nikasisitiza siyo lifti ya mwanaume TU bali hata mwanamke mwenzangu nisiyemjua siwezi kupanda, pia sikulazimishi uamini japo huo ndo msimamo wangu.
Lakin Safari Moja huanzisha Nyingine, so lift then next wawezajionea 6 PACKS
yah....ni kweli......wewe unajua sana.....na ndio wanafanana hivi.........kama kuna anayefanana hivi aniPM......
Ndahani Naona kuna mtu ananisema kimafumbo, ha ha...Ooh mine! 6 packs iliyotulia, mashallah!! nashindwa elezea...
Ila lifti, hapana penda ile kitu..
Leo nimetoa lift kwa mtu mmoja tu, Huyo Mdada the way alivyokuwa anaongea, yan vinashabihiana na the way unavyoandika hapa, sasa sijui ni weweeeeee...Aah bwana we sikuwezi..au hiyo 6 packs unayo ndiyo maana unasisitiza? Hebu jitokeze, simama mbele ya watu..tuzione🙂)
Leo umetoa lifti ngapi?
Kaka wasikuzengue. Ila ukweli unabakia palepale.... Mdada anapopewa lift na mtu asiyemfahamu, naye akaikubali, bila kujali anaendesha gari yake, ya serikali, shirika la umma au la kanisa/msikiti basi ni uamuzi tu wa dereva akamvue chup.i au asimvue. Lini na wapi pia ni uamuzi wa dereva. Wanaokubishia mkuu Bramo wanajua fika kuwa wanaubishia ukweli wanaoujua. PERIOD!!Afadhali yangu mie ninayesema, wapo ambao wanawachinja Kimya kimya, Asprin, njoo kaka, mdogo wako natusiwa huku kwa kuongea ukweli
Hao washamba si ndio dada zetu? Basi ushamba wao ndio unawafanya wamegwe siyo? Hoja ya Bramo bado ina mashiko hapa!BelindaJacob, lift wanazishobokea washamba wanaojidanganya eti watoto wa mjini. Wanaishia kutumiwa mpaka wanakuwa used...ntaanza kukimbia asubihi na kunyanyua vyuma vya wastani nijenge six pack ili siku ya siku niwe strong contender...si unajua tena hujafa hujaumbika...what if???!!!
Huyu mdada anaujua ukweli. Bramo njoo pande hii usome kina dada wanaosema ukweli. Kiukweli wadada wote wa JF wanajifanya "watakatifu". Ukiwauliza woooote hakuna atakayekiri alishawahi kucheat..... Sasa ndio ujiulize sisi wanaume tunaocheat huwa tunacheat na madogi au? Manake wanatuhumu kuwa almost 90% ya wanaume ni cheaters.madem wa kibongo easy sana, wanapenda sana vya bure ukimpa lift umemaliza kazi
jamani hebu niambieni gari za aina gani ambazo wanawake wanazipenda sana kupewa lift ili na mm ninunue kwasababu kuna kidemu nakitaka
6 packs utazionaje kwenye gari jamani? mtu amejikalia zake..ndiyo maana nikasisitiza siyo lifti ya mwanaume TU bali hata mwanamke mwenzangu nisiyemjua siwezi kupanda, pia sikulazimishi uamini japo huo ndo msimamo wangu.
Hao washamba si ndio dada zetu? Basi ushamba wao ndio unawafanya wamegwe siyo? Hoja ya Bramo bado ina mashiko hapa!
Huyu mdada anaujua ukweli. Bramo njoo pande hii usome kina dada wanaosema ukweli. Kiukweli wadada wote wa JF wanajifanya "watakatifu". Ukiwauliza woooote hakuna atakayekiri alishawahi kucheat..... Sasa ndio ujiulize sisi wanaume tunaocheat huwa tunacheat na madogi au? Manake wanatuhumu kuwa almost 90% ya wanaume ni cheaters.
Leo nimetoa lift kwa mtu mmoja tu, Huyo Mdada the way alivyokuwa anaongea, yan vinashabihiana na the way unavyoandika hapa, sasa sijui ni weweeeeee...
Hao washamba si ndio dada zetu? Basi ushamba wao ndio unawafanya wamegwe siyo? Hoja ya Bramo bado ina mashiko hapa!
Huyu mdada anaujua ukweli. Bramo njoo pande hii usome kina dada wanaosema ukweli. Kiukweli wadada wote wa JF wanajifanya "watakatifu". Ukiwauliza woooote hakuna atakayekiri alishawahi kucheat..... Sasa ndio ujiulize sisi wanaume tunaocheat huwa tunacheat na madogi au? Manake wanatuhumu kuwa almost 90% ya wanaume ni cheaters.
Majaribu haya Ndahani..ni ngumu kupata wanaume kama huyo/wewe, wengi vitambi vilivyosheheni hata kuhema shida!!