Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
MKAKA: Mambo.?
MDADA:- Poa
MKAKA: Pandezipi?
MDADA:- Dodoma
MKAKA: Unasoma?
MDADA:- Ndio
MKAKA: Hakika nimeona picture zako vile umedamshi nimetokea kukupenda ghafla!
MDADA:- Una kazi gani?
MKAKA: Me Headmaster wa Igunga secondry school.
MDADA:- Wao upo sahihi kweli kunipenda mie na najisikia faraja kuchart nawe mpenzi mwaamwaaaaa!
MKAKA: Ila mwaka juzi Anko Magu alinitumbua jipu!
MDADA:- Huh! Sorry my best huku niliko me nina mpenzi wangu na nampenda sana!
MKAKA:- Ila mwaka huo nilifanya sana mipango mingi hadi nikahakikisha narudishwa kazini!
MDADA:- Nilikua nakutania tu huyo mpenzi mwenyewe niliachana nae kitambo alikua mjinga mpumbavu asie jielewa.
MKAKA: Ok hata hivyo nilijikuta nikiangukia pua hakuna nilicho ambulia
MDADA:- Ngoja nikuambie ukweli nimeolewa tena kwenye ndoa na nina watoto wawili
MKAKA: Hadi zilipotoka nafas za jeshi ndipo nikaajiliwa huko hivi sasa napata mshahara wangu vizur
MDADA: Ukweli ni hivi miaka mi3 iliyopita tulipata ajari mbaya mume na watoto wote wakafa sasa hivi nipo single😳
MDADA:- Poa
MKAKA: Pandezipi?
MDADA:- Dodoma
MKAKA: Unasoma?
MDADA:- Ndio
MKAKA: Hakika nimeona picture zako vile umedamshi nimetokea kukupenda ghafla!
MDADA:- Una kazi gani?
MKAKA: Me Headmaster wa Igunga secondry school.
MDADA:- Wao upo sahihi kweli kunipenda mie na najisikia faraja kuchart nawe mpenzi mwaamwaaaaa!
MKAKA: Ila mwaka juzi Anko Magu alinitumbua jipu!
MDADA:- Huh! Sorry my best huku niliko me nina mpenzi wangu na nampenda sana!
MKAKA:- Ila mwaka huo nilifanya sana mipango mingi hadi nikahakikisha narudishwa kazini!
MDADA:- Nilikua nakutania tu huyo mpenzi mwenyewe niliachana nae kitambo alikua mjinga mpumbavu asie jielewa.
MKAKA: Ok hata hivyo nilijikuta nikiangukia pua hakuna nilicho ambulia
MDADA:- Ngoja nikuambie ukweli nimeolewa tena kwenye ndoa na nina watoto wawili
MKAKA: Hadi zilipotoka nafas za jeshi ndipo nikaajiliwa huko hivi sasa napata mshahara wangu vizur
MDADA: Ukweli ni hivi miaka mi3 iliyopita tulipata ajari mbaya mume na watoto wote wakafa sasa hivi nipo single😳