dafatari la wapiga kura laibiwa

Haika

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
2,347
Reaction score
562
Gazeti moja leo limeandika kuwa daftari la wapiga kura limeibiwa tayari, huko newala,
je ni matayarisho ya uchaguzi?
je ni la kwanza kuibiwa au kuna mengine ambayo yanapotea na kupatikana kwa namna za kitanzania?
manake nasikia harufu ya uchaguzi kabla ya 2010
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…