LGE2024 Daftari la kuandikisha wapiga kura ni kweli yanapelekwa jiji?

LGE2024 Daftari la kuandikisha wapiga kura ni kweli yanapelekwa jiji?

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Pendragon24

Member
Joined
Aug 8, 2018
Posts
68
Reaction score
97
Kumekuwa na taarifa inayotolewa na baadhi ya wanasiasa na wana harakati kuhusu taarifa mbalimbali za uchaguzi hasa katika hatua hii ya kujiandikisha.

Nimekutana na hii habari huko mitandaoni ikisema daftari la lililotumika kuandikisha watu yamekusanywa na kupelekwa katika ofisi za jiji kinyume na kanuni.

Je hii ni kweli?

Screenshot_20241021_103124_X.jpg
 
Back
Top Bottom