Nimeona thread yako ya kuku wa kienyeji,
Unataka fuga wa kisasa na wa kienyeji at the same time?
Ungedeal na aina moja kwanza, ni kaushauri tu, alafu kuhusu kuku wa kienyeji browse kwenye thread ya ujasiriamali utakuta na moja inaongelea huo ufugaji vizuri kabisa, utapata majibu yako,
Goodluck