Hello Wateja wangu
Karibuni katika biashara yangu ya Dagaa wa kukaanga kutoka Jijini Mwanza.
Tunauza dagaa wasafi na walioandaliwa katika mazingira safi.
BEI ZETU
Tunaanzia pakti kwa Tshs elfu 1. (Tazama picha ya packet chini)
Wapo wenye pili na wasio na pilipili
NDOO KUBWA YA LITA 20 (Imepimwa vizuri, Tshs elfu 85>>> 85,000 Tu)
NDOO NDOGO YA LITA 10 (Tshs 40,000)
JE, TUNASAFIRISHAJE KUMFIKIA MTEJA WETU?
Ndugu mteja, kituo chetu cha biashara (hq) ni jiji la mwanza, hivyo wateja wetu wote watasafirishiwa bidhaa kwa njia ya basi mpaka kuwafikia walipo.
Mteja atalipia mzigo wake pamoja na usafiri kisha tunafanya mipango ya usafirishaji wa mzigo.
BIASHARA INAFANYIKA KWA UAMINIFU WA HALI YA JUU SANA.
Unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba
call/whatsapp/text +255683011003
Calls/normal texts
+255762972021
Nitumie ujumbe wa kawaida kama whatsapp ikichelewa kujibiwa
Karibuni katika biashara yangu ya Dagaa wa kukaanga kutoka Jijini Mwanza.
Tunauza dagaa wasafi na walioandaliwa katika mazingira safi.
BEI ZETU
Tunaanzia pakti kwa Tshs elfu 1. (Tazama picha ya packet chini)
Wapo wenye pili na wasio na pilipili
NDOO KUBWA YA LITA 20 (Imepimwa vizuri, Tshs elfu 85>>> 85,000 Tu)
NDOO NDOGO YA LITA 10 (Tshs 40,000)
JE, TUNASAFIRISHAJE KUMFIKIA MTEJA WETU?
Ndugu mteja, kituo chetu cha biashara (hq) ni jiji la mwanza, hivyo wateja wetu wote watasafirishiwa bidhaa kwa njia ya basi mpaka kuwafikia walipo.
Mteja atalipia mzigo wake pamoja na usafiri kisha tunafanya mipango ya usafirishaji wa mzigo.
BIASHARA INAFANYIKA KWA UAMINIFU WA HALI YA JUU SANA.
Unaweza kuwasiliana nasi kwa simu namba
call/whatsapp/text +255683011003
Calls/normal texts
+255762972021
Nitumie ujumbe wa kawaida kama whatsapp ikichelewa kujibiwa