Wadau wajasiriamali! nawasalimu!
Nimefanya utafiti na kupata jawabu kuwa watu wanachukia dagaa wa ziwa victoria kwa vile wanaandaliwa katika mazingira machafu na wanakuwa na uchafu! Nimeweka miundo mbinu yakuanika juu ya chanja na kuwatreat kidogo kwa mbali na chumvi kwa ukweli yeyote anaweza kula with a pride! Naanza kuzalisha tarehe 25/6/2014.
Wadau nipeni order na biashara itafanyika kwa kilo na sio viroba wala magunia bei kwa kilo itakuwa ni sh 4000/= tunaweza kujadili kidogo.Tuwasiliane naturlandlake@gmail.com
Karibuni
Nimefanya utafiti na kupata jawabu kuwa watu wanachukia dagaa wa ziwa victoria kwa vile wanaandaliwa katika mazingira machafu na wanakuwa na uchafu! Nimeweka miundo mbinu yakuanika juu ya chanja na kuwatreat kidogo kwa mbali na chumvi kwa ukweli yeyote anaweza kula with a pride! Naanza kuzalisha tarehe 25/6/2014.
Wadau nipeni order na biashara itafanyika kwa kilo na sio viroba wala magunia bei kwa kilo itakuwa ni sh 4000/= tunaweza kujadili kidogo.Tuwasiliane naturlandlake@gmail.com
Karibuni