Dah, aisee Warangi wazuri sana

πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Nilikuwa na kuheshimu sana lakini kumbe una utoto mwingi na haujielewi kabisa. Sasa kama mtu anawasifiq wanawake wa Kabila fulani wewe kinachokuuma ni nini???
Fala huyo alitaka tumsifie yeye kwa kipi alichonacho, wasifiwe wengine yeye aumie kama sio uchawi kitu gani...?

Fyuuuuuuu...!

🀣🀣🀣
 
Ndo hicho kimefanya uwasifie🀣
Sio hiko ila uzuri wao ndio ulionifanya nikawasifia mkuu. Kama shombe au wasomali hawa watoto nafkiri waarabu walipita huku kipindi cha utumwa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…