Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,433
- 56,810
Ana umri mkubwa kuliko "kinda" skudu?Nafasi anayocheza Mkude ina watu wengi ambao tunaweza kuwapata.
Nafasi ya Bocco ni ngumu kupata mbadala wake...
Skudu anamzidi Hersi miaka 25.Ana umri mkubwa kuliko "kinda" skudu?
[emoji23][emoji23]Skudu anamzidi Hersi miaka 25.
Namba haziongopi. 33 - 25 = 8. Kwa hiyo Hersi ana miaka 8. Sawa..!!!Skudu anamzidi Hersi miaka 25.
Bosco Ntaganda amaBosco- Team Manager Co Player
Kabisa kabisa MkuuSimba yatakiwa ikose kombe tena maana wanakumbatia upumbavu na ujinga
Ana umri mkubwa kuliko "kinda" skudu?
Nafasi anayocheza Mkude ina watu wengi ambao tunaweza kuwapata.
Nafasi ya Bocco ni ngumu kupata mbadala wake.
Angalia ni Striker gani mzawa anayefanya vizuri kwa sasa hivi?
Ukiangalia pamoja na umri wake kuwa mkubwa lakini yeye ndiye mchezaji mzawa ambaye ana goli nyingi kuliko mwingine.
So kwa pointi hii naona Simba wako sahihi
Nazungumzia msimu ulioisha.Izo goli nyingi kazipata ndan ya misimu mingap mkuu
hakikaNgoja tusubiri mpaka mwisho tuone hawa viongozi watasema nini. Hakuna anayebisha pale msimbazi mambo ya kihuni ni mengi sana.
Kweli bongo uchawi upo!
Uchawi upo [emoji23]
no kweli Bocco kaongoza ila sabilo angekuwa Simba inawezekana angemwacha mbali , maana Simba ndio timu inayoongoza kutengeneza nafasi.Nazungumzia msimu ulioisha.
Hakuna top score mzawa ambaye amefunga magoli mengi kumzidi Bocco
Katika wazawa Bocco ndio anaongoza amefunga goli 10 na anayemfuatia ni Sixtus Sabilo akiwa na goli 8.
Lakini Sixtus Sabilo ni winga wa kulia sio Striker
Mpaka muda huu hkuna Striker mzawa mwenye namba nzuri uwanjani kumzidi Bocco