Kazi yenyewe ni kusubiria selection za vyuo.Muliokwishaziona endeleeni tu kula bata
Pole mkuu ungekuwa na mazoea ya kuingia humu mara kwa mara usingekuwa na presha.
Dah lile zali la J/mosi lilinipita kushoto aisee.But najipa matumaini kimtindo kwani watazitoa 2teh teh teh! ulikuwa wap wewe?
Mkuu mimi humu napitapita sana tu sema hii case ni kama ya wenye nacho na wasio nacho hapa bongo,hawa ndg zetu wangejitahidi tu waliondoe hili gape mapema watu tujue tujipange.Pole mkuu ungekuwa na mazoea ya kuingia humu mara kwa mara usingekuwa na presha.
wewe huna presha i hope umepata chaguo lako cuz kuna wengine walijipendekeza kuona mapema walichokikuta sasa!!!!!Ndo hao wanahaha kuomba ushauri kubadili course na chuo.kwel kabisa,cc ha2na presha yeyote hapa 2nafatilia tarehe ya kuripoti
wewe huna presha i hope umepata chaguo lako cuz kuna wengine walijipendekeza kuona mapema walichokikuta sasa!!!!!Ndo hao wanahaha kuomba ushauri kubadili course na chuo.
sio mbaya mkuu soon tutakuwa level mojadaaa kausheni kama hujajua unaenda wap mpaka saiv we n mzembee