fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 2,977
- 3,798
Hii mechi ya simba na pamba imechukua sura mpya ya kelele nyingi mno,haijulikani ukweli ni upi..
Naomba amani na mpira uchezwe tu
Naomba amani na mpira uchezwe tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipenda niwaze nini? Fahamu kuwa binadamu tunatofautiana sana,hatuwezi kuwaza sawasawaSa11 unawaza mpira
Mwanayanga mwenzangu hizi propaganda za kipunguani. Tuacheni mpira uchezwe uwanjani.Ukiwazuia Simba wasifanye ushirikina uwanjani kabla ya mchezo lazima shida itokee, Awataki uwaone wakifanya ushirikina wakati pale South Afrika walifanya hadharani.View attachment 3158387
Za kutengenezwa hizoHii mechi ya simba na pamba imechukua sura mpya ya kelele nyingi mno,haijulikani ukweli ni upi..
Naomba amani na mpira uchezwe tu
Ndugu ukionacho ni video na si propaganda uo ndio uhalisia wa mpira wetu wa Simba.Mwanayanga mwenzangu hizi propaganda za kipunguani. Tuacheni mpira uchezwe uwanjani.
YAnga mpaka tulioneshewa video ya sindano kuwa tunajidunga.... Nyie ndo mnafanya mpira wetu uwe na upumbavu mwingi sababu ya watu ambao ni very uneducated.Ndugu ukionacho ni video na si propaganda uo ndio uhalisia wa mpira wetu wa Simba.
Usishangae timu yetu Mbovu lakini inapata matokeo, Kuna kazi kubwa ya kujidhalilisha nyuma ya pazia.
Usifikiri neno kwa Mkapa atoki mtu lipo ki nadharia Kuna kazi inafanyika ili wewe mbumbumbu mwenzangu u enjoy.