wewe leo lazima ujifunike shuka na ulie kwa kwikwi!Watopolo wako hoooiiii...
Hyo haipooo...wewe leo lazima ujifunike shuka na ulie kwa kwikwi!
ukutane na nani..?Hyo haipooo...
Tukutane saa 4 usiku...
Msyuuuu...sasa unasema tutafungwa ukiwa umejifunika kwa uoga au?? Tukutane hapa JF...sasa mm utanionea wapi kwamba nimejifunika nalia kwa kwikwi wewe chura zezeta...ππukutane na nani..?
niache kulala nije nikutane na kolo ama dunduka!,basi mi nitakuwa zwazwa..π
sawa mrs dunduka si unanilazimisha haya nitakuwepo ili nione unyumbu wenu...π€£Msyuuuu...sasa unasema tutafungwa ukiwa umejifunika kwa uoga au?? Tukutane hapa JF...sasa mm utanionea wapi kwamba nimejifunika nalia kwa kwikwi wewe chura zezeta...ππ
Wewe Endelea kukaza fuzu kama Chura kiziwi...mwisho wa siku mnaukimbia uzi...sawa mrs dunduka si unanilazimisha haya nitakuwepo ili nione unyumbu wenu...π€£
niache nilale sasahivi ili hiyo saa mbili mpk nne niwe active nione unyumbu wenu!..Wewe Endelea kukaza fuzu kama Chura kiziwi...mwisho wa siku mnaukimbia uzi...
Ile kauli ya uzuzu kuna ka ukweli..πππmr mwiko nyuma...
Karibu ufurahishweniache nilale sasahivi ili hiyo saa mbili mpk nne niwe active nione unyumbu wenu!..