Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,803
- 1,601
Wewe mwanamke sasa unataka kuiniaibisha hapa, haya mambo ya KUGONGA unajua sio mazuri presha yaweza shuka, halafu kuna ishu inabidi tuzungumze nadhani Teamo atakuwa amekupa hint kama bado nitakushtua nikwambie
Just a joke lol!!!!!!!Im watching you ohoo:coffee:
:clap2::clap2::clap2::clap2:Out of topic Great thinker...
Ndo maana mkuu Invizibo aliweka opsheni ya kutuma PM...
Au kama vipi anzisha thread yako, usiharibu vilivyoanzishwa na wenzako....
Na ndio maana nimemwambia kama yeye hawezi kuongea masaa sita wengine tunaongea zaidi ya hapo we differSasa unaongea kuhusu wanawake na jamaa yako, wakati kuongea na hao wanawake hupendi?
Sasa unaongea kuhusu wanawake na jamaa yako, wakati kuongea na hao wanawake hupendi?
Okay tena unamjua vizuri ila usishangae nikikutajia jina lake
Embu nipigie mimi tuongee mpaka tusinzie!mimi nina postpaid hayo masaa sita unayosema kwangu mimi ni madogo sana! kuongea nusu saa huwa siwezi kabisa muda wa chini wa kuongea ni masaa manne au matano
Ndiyo huyo huyo unayemfikiria wala sijakoseaEhh embu mtaje!Nahope sio nnaemfikiria maana hutamuweza!Lolz!
Out of topic Great thinker...
Ndo maana mkuu Invizibo aliweka opsheni ya kutuma PM...
Au kama vipi anzisha thread yako, usiharibu vilivyoanzishwa na wenzako....
Aisee inabidi tukiwa tunaongea uiweke simu yako kwenye charge kabisa otherwise haitaweza kuhimiliEmbu nipigie mimi tuongee mpaka tusinzie!
Boy...mbona kesi ntakua nazo nyingi!Ndiyo huyo huyo unayemfikiria wala sijakosea
Nna betri 3 alafu kobe iko standby!Aisee inabidi tukiwa tunaongea uiweke simu yako kwenye charge kabisa otherwise haitaweza kuhimili
Hivi una chaja ya kobe ya pini ndogo lolzNna betri 3 alafu kobe iko standby!
Tabia za watu kwenye jamii zinatofautiana wewe ukifanya hivi mwenzako anafanya vile kwahiyo hauwezi kulazimisha, mimi nina postpaid hayo masaa sita unayosema kwangu mimi ni madogo sana i can even talk for seven hours na maongezi yanakuwa ni ya aina tofauti so all in all we differ on what we do and i am used to it kwahiyo kuongea nusu saa huwa siwezi kabisa muda wa chini wa kuongea ni masaa manne au matano
Fy..Fynest mbona unaniangusha babaangu!?Hivi una chaja ya kobe ya pini ndogo lolz
mmmmmhhhhhh unaongeaga na nani hayo masaa saba maana mimi na wewe nakumbuka ni masaa 6.na 45mnts......
Nna betri 3 alafu kobe iko standby!