Dah, kweli tunatofautiana.......

Wewe mwanamke sasa unataka kuiniaibisha hapa, haya mambo ya KUGONGA unajua sio mazuri presha yaweza shuka, halafu kuna ishu inabidi tuzungumze nadhani Teamo atakuwa amekupa hint kama bado nitakushtua nikwambie


Im watching you ohoo:coffee:
 
Sasa unaongea kuhusu wanawake na jamaa yako, wakati kuongea na hao wanawake hupendi?
 
Out of topic Great thinker...
Ndo maana mkuu Invizibo aliweka opsheni ya kutuma PM...
Au kama vipi anzisha thread yako, usiharibu vilivyoanzishwa na wenzako....
:clap2::clap2::clap2::clap2:
 
Sasa unaongea kuhusu wanawake na jamaa yako, wakati kuongea na hao wanawake hupendi?
Na ndio maana nimemwambia kama yeye hawezi kuongea masaa sita wengine tunaongea zaidi ya hapo we differ
 
Sasa unaongea kuhusu wanawake na jamaa yako, wakati kuongea na hao wanawake hupendi?

Mkuu ninachomaanisha ni kuwa watu tunatofautiana...
Kwamba mtu anapiga story kuhusu Birthday na vitu vingine unnecessary labda tuseme kwa masaa sita....
Unamshauri kuwa kama vipi afanye mambo ili binti awe wake manake anamkubali msela, yeye anaweka mapozi...
Inatokea siku binti anachukuliwa na wasiopiga story nyingi, mtu anaanza kuvuta midomo....
Hapo ndo maana nahisi aidha mimi au watu wa dizaini hiyo kuna mmoja ana matatizo....
 
Ehh embu mtaje!Nahope sio nnaemfikiria maana hutamuweza!Lolz!

Out of Topic Mkuu..
PM ipo kwa ajili ya mazungumzo kama haya...
 
mimi nina postpaid hayo masaa sita unayosema kwangu mimi ni madogo sana! kuongea nusu saa huwa siwezi kabisa muda wa chini wa kuongea ni masaa manne au matano
Embu nipigie mimi tuongee mpaka tusinzie!
 
Out of topic Great thinker...
Ndo maana mkuu Invizibo aliweka opsheni ya kutuma PM...
Au kama vipi anzisha thread yako, usiharibu vilivyoanzishwa na wenzako....

Off topic lazima ziwepo ili mada ichangamke!Kwani tuko jeshini hapa mpaka tuwe kwenye pozi la ATTENTION muda wote?Tunahitaji kua AT EASE ili tuweze kuchangia!
 

mmmmmhhhhhh unaongeaga na nani hayo masaa saba maana mimi na wewe nakumbuka ni masaa 6.na 45mnts......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…